Kuboresha Malipo ya Ada za Shule: Benki ya Exim Yazindua huduma ya ‘Exim Smart Shule’

Katika juhudi za kuboresha teknolojia za kidijitali katika sekta ya elimu, Benki ya Exim imezindua huduma ya ‘Exim Smart Shule’ maarufu kama ‘Shule Kidijitali’, suluhisho la malipo linalorahisisha malipo ya ada za shule moja kwa moja na wazazi, walezi, au wanafunzi wenyewe. Kupitia namba maalum inayotolewa na mfumo, malipo yanaweza kufanyika kwa urahisi kupitia matawi…

Read More

MAKATIBU MAHSUSI WA OFISI YA RAIS -TAMISEMI WASHIRIKI MKUTANO 11 WA TAPSEA

OR – TAMISEMI, Mwanza Makatibu Mahsusi wa Ofisi ya Rais -TAMISEMI wameshiriki Mkutano wa 11 wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania(TAPSEA) unaofanyika Mkoani Mwanza. Mkutano huo unawakutanisha Makatibu Mahsusi wa Tanzania Bara na Visiwani, Ofisi za Serikali na zisizokuwa za Serikali lengo likiwa ni kukumbushana maadili ya kazi zao na kubadilishana uzoefu. Akizungumza kwa niaba…

Read More

Geita, Mwanza waongoza kwa mbwa

Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti amesema taarifa ya sampuli ya sensa ya kilimo, mifugo na uvuvi iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) mwaka 2020, ilikadiriwa Tanzania inao mbwa 2,776,918.  Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea). Aidha, kupitia taarifa hiyo amesema mikoa iliyoongoza kwa mbwa wengi ni Geita (302,879), Mwanza (287,270) na Tabora…

Read More

Majadiliano DPP, bosi Jatu hayajakamilika

Dar es Salaam. Serikali imesema inaendelea na majadiliano ya maridhiano ya kukiri kosa katika kesi inayomkabili Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, Peter Gasaya. Gasaya (33), anakabiliwa na makosa mawili katika kesi ya uhujumu uchumi, akidaiwa kujipatia Sh5.1 bilioni kwa njia ya udanganyifu. Anadaiwa kujipatia fedha hizo kutoka Saccos ya Jatu kwa madai kuwa…

Read More

Serikali yanawa mikono fidia Kimara-Kibamba

SERIKALI imewataka waathiriwa wa bomoabomoa ya upanuzi wa barabara ya Morogoro kuanzia Kimara – Kibamba uliofanyika mwaka 2017/2018, kuelewa kwamba Serikali ilitumia sheria ya barabara ya mwaka 1932 na hakuna fidia itakayoweza kulipwa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Imesema kulingana na Sheria hiyo Na. 40 ya mwaka 1932, hifadhi ya barabara zinazosimamiwa na Wakala wa…

Read More

Waombolezaji watoa heshima za mwisho – DW – 21.05.2024

Raia hao mamia kwa maelfu waliobeba bendera za taifa hilo na picha za Ebrahim Raisi wameshuhudiwa katika uwanja wa Central square mjini Tabriz wakitembea kando ya gari lililobeba majeneza ya Raisi na maafisa wengine saba. Mji huo ndiko alikokuwa akielekea kiongozi huyo na ujumbe wake wakati helikopta waliyokuwa wakisafiria ilipopata ajali Jumapili. Mwili wa Raisi…

Read More

Viwanja vipya vya Afcon kukamilika mwakani

Dodoma. Serikali imesema ujenzi wa viwanja vipya vya michezo kwa ajili ya Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027), unatarajiwa kukamilika mwakani ili kupisha ukaguzi wa kikanuni. Tanzania, Kenya na Uganda zitaandaa fainali za Kombe la Mataifa Afrika mwaka 2027 ikiwa ni mara ya kwanza nchi hizo zinafanya hivyo. Hayo yamesemwa leo na…

Read More

Safari ya Serikali kuhamia Dodoma kukamilika mwakani

Dodoma. Safari ya Serikali kuhamia jijini hapa  itakamilika  baada ya mpango kazi maalumu na ujenzi wa awamu ya pili wa majengo ya ofisi za wizara na taasisi utakapohitimishwa mwaka 2025. Aidha, Serikali imesema hadi sasa watumishi wa umma 25,039 wameshahamia huku taasisi zilizohamia zikiwa ni 65.Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu Bunge,…

Read More

Tabora, Ihefu mechi ya matumaini

LEO Jumatano katika Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi, Tabora kutapigwa mechi ya kibabe kati ya wenyeji Tabora United na Ihefu ambayo imebeba matumaini makubwa ya timu hizo mbili kwa msimu huu. Mchezo huo ni wa Ligi Kuu Bara mzunguko wa 28 kwa kila timu na matokeo yoyote yatakayopatikana yatabadili mambo mengi hususan kwenye nafasi ambazo…

Read More