Frateri wa Kanisa Katoliki Tanga adaiwa kujinyonga

Lushoto. Frateri wa Kanisa Katoliki Shirika la Roho Mtakatifu Jimboni Tanga, Rogassion Hugho, anadaiwa kujinyonga hadi kufa. Hili ni tukio la pili  kwa viongozi wa dini kudaiwa kujinyonga. Mei 16, 2024 mkoani Dodoma, Askofu Mkuu wa Makanisa ya Methodist, Joseph Bundala naye alidaiwa kujinyonga ndani ya ofisi yake iliyopo katika kanisa hilo eneo la Meriwa…

Read More

Dodoma Jiji, Yanga vita iko hapa, Arajiga kati

KWA mashabiki wa Dodoma Jiji wanajiuliza kwanini timu hiyo kwanini haijafunga bao katika mechi nne mfululizo za Ligi Kuu Bara zilizopita wakati kesho itakapoikaribisha Yanga saa 10:00 jioni, Uwanja wa Jamhuri Dodoma. Swali hilo linatokana na safu butu ya ushambuliaji inayoikumba timu hiyo ambapo katika michezo minne imeshindwa kabisa kufunga bao lolote tangu mara yake…

Read More

Serikali yaeleza inachofanya kupambana na kichaa cha mbwa

Dodoma. Serikali ikishauri wadau kutoa chanjo ya kichaa cha mbwa kupitia sekta binafsi, imetaja mikoa inayoongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wanyama hao. Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti ametoa ushauri huo bungeni leo Mei 21, 2024 alipojibu maswali ya mbunge wa Viti Maalumu, Yustina Rahhi. Katika swali la nyongeza, mbunge huyo…

Read More

Watumishi 25,039, taasisi 65 wahamia Dodoma

Serikali imesema hadi sasa, jumla ya watumishi 25,039 kutoka Serikali kuu, Bunge, mahakama, vyombo vya ulinzi na usalama, pamoja na taasisi 65 wameshahamia Dodoma na wanaendelea kutekeleza majukumu yao wakiwa makao makuu ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hatua hiyo imekuja baada ya zoezi la kuhamisha makao makuu ya Serikali kutoka Dar es Salaam…

Read More

DARAJA LA RUHEMBE LAWAFUTUTA MACHOZI WANANCHI WA MIKUMI

Kwa muda mrefu wananchi wa Kata za Ruhembe, Kidodi, Uwembe, Vidunda, Mikumi na Kilolo wameteseka kwa kusafiri umbali mrefu au kuzunguka kwenye mapori ya miwa kufikia huduma za kijamii. Hali hiyo ilitokana na kukosekana kwa kiunganishi madhuhuti cha miundombu ya barabara katika kata hizo. Akizungumza wakati wa ziara ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais…

Read More

Watu 567 wakamatwa Geita  kwa tuhuma za uhalifu 

Geita. Jeshi la Polisi Mkoani Geita limewakamata watu 567 wakituhumiwa kwa makosa mbalimbali yakiwemo ya mauaji, ubakaji, kukutwa na mali za wizi pamoja na dawa za kulevya aina ya bangi.Kamanda wa Polisi mkoani Geita, Saphia Jongo amesema watu hao wamekamatwa kwenye operesheni inayoendelea. “Operesheni hii ilianza Aprili mwaka huu, ni mwendelezo.” Akizungumza na waandishi wa habari…

Read More

DC KONGWA: MAHINDI NA KARANGA MWOKOZI KWA WATOTO WADOGO KONGWA

  MKUU wa Wilaya ya Kongwa Mayeka Simon,akizungumza  wakati wa hafla ya kufungua kikao cha mrejesho wa matokeo ya utafiti na mafunzo ya kupunguza sumukuvu katika mazao baada ya kuvuna kilichofanyika wilayani humo. MAKAMU  Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela,Arusha Prof.Maulilio Kipanyula,akizungumza  wakati wa hafla ya kufungua kikao cha…

Read More