ANC yaanza kupoteza nguvu zake matokeo ya awali

Johannesburg. Wakati kura zinaendelea kuhesabiwa katika uchaguzi mkuu wa Afrika Kusini yakiendelea kutolewa, matokeo ya awali yanaonyesha kuwa chama tawala cha ANC huenda kikapoteza nguvu zake. Endapo hilo litatokea, ANC italazimika kufanya makubaliano na vyama vingine ili kuunda serikali ya pamoja. Uchaguzi wa washirika wa muungano utategemea umbali wao kutoka alama ya asilimia 50. Iwapo…

Read More

Wanafunzi wa TIA Watoa Kongole Kwa Usimamizi wa Bunifu Kutoka Chuo

Mwanafunzi wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA)Klaivet Steven akizungumza kuhusiana na ubunifu wake wa kusaidia mtu kupata makazi ya kupanga katika mikoa yote nchini.Mwanafunzi wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA)Paul Reuben  akizungumza kuhusiana na ubunifu zao la Korosho mteja kupata korosha moja kwa moja kutoka kwa katika mfumo.Baadhi ya wanafunzi wakipata maelezo katika Banda la…

Read More

Crystal Palace wanakaribia kukamilisha dili la kumsajili Daichi Kamada kama mchezaji huru.

Crystal Palace, chini ya usimamizi wa Oliver Glasner, wanaripotiwa kufuatilia kwa karibu hali kuhusu mazungumzo ya mkataba wa Daichi Kamada na Lazio. Kamada, ambaye aliwasili Lazio msimu uliopita wa joto kutoka Eintracht Frankfurt, anatafuta kandarasi mpya yenye kipengele cha chini cha kuachiliwa. Kiungo huyo amekubali kusaini mkataba wa nyongeza na Lazio lakini anashinikiza kujumuishwa kwa…

Read More

Faida na hasara upasuaji wa ganzi na usingizi kwa mjamzito

Dar es Salaam. Wakati ambao tafiti zinaonyesha kuwapo kwa ongezeko la wanawake wanaojifungua kwa upasuaji nchini katika mwaka 2022, umewahi kujiuliza njia ipi ni nzuri kutumia kuondoa maumivu wakati wa upasuaji? Hiyo nikiwa na maana umewahi kufikiria njia ipi ni salama kutumia ili kuzuia kusikia maumivu wakati wa upasuaji kati ya sindano ya usingizi (nusu…

Read More