
Utata kifo cha Rais wa Iran, waziri wake
Iran. Wakati Serikali ya Iran ikithibitisha kufariki dunia kwa Rais wa nchi hiyo, Ebrahim Raisi kwa ajali ya helkopta juzi, maswali yameibuka kuhusu kifo hicho. Raisi alikuwa pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Hossein Amir-Abdollahian ambaye pia amefariki dunia wakati walipokuwa wakirejea kutoka nchi jirani ya Azerbaijan kwenye hafla ya uzinduzi…