
Mtibwa pointi, Namungo nafasi, | Mwanaspoti
MECHI ya Mei 20, itakayopigwa Uwanja wa Namungo, Morogoro, itakuwa ya kusaka nafasi kwa Namungo kupanda nafasi za juu kwa Mtibwa Sugar kuongeza pointi hata ikishinda itasalia nafasi ileile (mkiani). Namungo imecheza mechi 27, imeshinda saba sare 10 na imefungwa 10, inamiliki mabao 22, imefungwa mabao 25 na imekusanya pointi 3, ipo nafasi ya nane, …