HELIKOPTA YA RAIS WA IRAN IMEPATIKANA

Mwenyekiti wa Jumuiya ya “Red Crescent” Iran, Kolivand, ametangaza kuwa mabaki ya helikopta iliyokuwa imembemba Rais Ebrahim Raisi, Waziri wa Mambo ya Nje, Hossein Amir-Abdollahian, na maafisa wengine kadhaa yamepatikana. Helikopta hiyo ilipatikana kaskazini magharibi kwenye mteremko wa kilima katika eneo la Varzaghan, karibu na mpaka wa Azerbaijan Mashariki. Mapema saa saba hadi nane zilizopita…

Read More

UNYANYAPAA , MITIZAMO HASI YA JAMII KIKWAZO CHA AJIRA ZA WATU WENYE ULEMAVU

NA BALTAZAR MASHAKA,MWANZA SHIRIKISHO la Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA), Wilaya ya Nyamagana,linatambua jitihada za serikali za kuboresha maisha ya Watanzania wakiwemo watu wenye walemavu, mitizamo hasi ya jamii na sekta binafsi kuwa walemavu hawawezi kufanya kazi licha ya kuwa na sifa na elimu ni kikwazo cha kutoajiriwa. Mwenyekiti wa SHIVYAWATA wilayani humu,Hamza Nyamakurura amesema…

Read More

Samatta arejea Ligi ya Mabingwa Ulaya

Nahodha wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Mbwana Samatta amehitimisha vyema msimu wa 2023/2024 baada ya timu yake PAOK kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Ugiriki kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 ugenini dhidi ya Aris, jana. Matokeo hayo yameifanya PAOK kumaliza ikiwa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Ugiriki ikikusanya pointi 80,…

Read More