Mtandao wa kuomba ajira Polisi walalamikiwa haufunguki

Dodoma. Wakati siku ya mwisho ya maombi ya kazi kwenye Jeshi la Polisi ni Jumanne ya Mei 21, 2024, waombaji wengi wamelalamikia mtandao wa jeshi hilo kutofunguka. Malalamiko hayo yametolewa na watu mbalimbali huku wengine wakishauri jeshi hilo liruhusu barua za maombi zipelekwe kwa mkono kwa makamanda wa polisi wa mikoa na wilaya. Malalamiko ya…

Read More

ATM YA WIKI: Fury alivyoendelea kumtajirisha Usky

RIYADH, SAUDI ARABIA: HESHIMA mjini. Vijana wengi wanapenda kusema baada ya kupata mafanikio hasa pesa. Juzi usiku Mei 18, Aleksandr Usyk alimkalisha Tyson Fury pambano la raundi 12, lakini kwa pointi za majaji na unaambiwa pambano hilo limempa pesa za maana. Licha ya ubabe wa Fury lakini Usyk alionyesha ni mwamba kutoka Ukrain na kumtingisha…

Read More

Canada yatenga bilioni 38 kutekeleza mradi ya kuinua vijana TZ

SERIKALI ya Canada kupitia ‘CARE International Canada’ imetenga takribani Sh 38 bilioni zitakazotekeleza  Mradi wa “Her Resilience, Our Planet Project” ambao unalenga  kuongeza ushiriki wa vijana na  wanawake katika shughuli za kiuchumi.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Pwani …(endelea). Pia unalenga kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kupitia teknolojia za kibunifu na kanuni za kilimo endelevu….

Read More

Michango ya gari la Lissu yafikia Sh10 milioni kwa saa 24

Dar es Salaam. Mwanaharakati wa mitandaoni nchini Tanzania, Maria Sarungi ambaye anaendesha kampeni ya kumchangisha fedha za kununua gari jipya la Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu amesema michango hiyo imefika Sh10 milioni ndani ya saa 24. Maria ametoa taarifa hiyo leo Jumapili Mei 19, 2024 saa 3 asubuhi kupitia ukurasa wake wa X…

Read More

TANROADS YAANZA UTEKELEZAJI MAAGIZO YA WAZIRI BASHUNGWA//YATANGAZA ZABUNI UJENZI MADARAJA YA CHAKWALE NA NGUYAMI

Wakala ya barabara Tanzania (TANROADS) umeanza kutekeleza maagizo ya Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa aliyoyatoa Februari 22, 2024 wakati wa ziara yake ya siku Nne Mkoani Morogoro ya kukagua miundombinu ya Barabara ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kumtaka Waziri huyo kufika kusiko fikika ili kutatua kero za wananchi…

Read More

Maokoto ya gofu hadi mazoezini

KWENYE gofu kuna maokoto ya hapa na pale na yamekuwa yakiwasaidia vijana kupunguza makali ya maisha, pia yanaongeza chachu ya nidhamu ya kazi na kujituma ili kuhakikisha viwango vyao vinakua. Mzuka wa gofu kwenye Gazeti la Mwanaspoti, linafichua jinsi mazoezi ya gofu yanavyoweza kumfanya mchezaji akaondoka na kibunda cha maana cha pesa, pia yanavyojenga afya…

Read More

Ujenzi kituo cha kupoza umeme Chalinze wafikia asilimia 93.7

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa mradi wa kituo cha kupoza umeme cha Chalinze  unaojumuisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovoti 400 kutoka JNHPP hadi Chalinze. Anaripoti Mwandishi wetu, Pwani…(endelea). Hayo yamebainishwa jana Jumamosi na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu…

Read More

Mwamba wenye sura za binadamu wageuka kivutio Same

Same. Unaweza kuwa ni moja ya miamba ya aina yake kuwahi kuonekana nchini Tanzania unaopatikana katika Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, unaoonekana kama taswira ya binadamu. Pamoja na mwamba huo wenye taswira ya mwanaume, pembeni yake, kushoto na kulia, zipo taswira mbili za wanawake wanaoonekana ni wajauzito. Yohana Ramadhani (70), mkazi wa Kijiji cha Kambeni,…

Read More