MSOMERA WAMSHKURU RAIS SAMIA – Mzalendo

Wakazi wa Kijiji cha Msomera, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga wamemshkuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan kwa maendeleo mbalimbali na uboreshwaji wa huduma katika kijiji hicho. Kwa nyakati tofauti, wakazi hao wamesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais, Dk. Samia imefanya maendeleo makubwa katika kijiji…

Read More

Jeshi la Uhifadhi kujengewa uwezo zaidi

  WIZARA ya Maliasili na Utalii imejipanga vyema kuendelea kulijengea uwezo Jeshi la Uhifadhi nchini kwa njia mbalimbali ikiwepo ya utowaji wa mafunzo mengi na ya mara kwa mara kwa Makamishna, maafisa na askari wa Jeshi hiko. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Hayo yamebainishwa Jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Kitengo cha Uratibu wa Jeshi…

Read More

Waendesha kampeni Lissu apate gari jipya

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu kukabidhiwa gari lake lililokuwa limehifadhiwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Mkoa wa Dodoma, baadhi ya watu, wakiwamo makada wa chama hicho, wameanzisha mchango kwa ajili ya kumnunulia gari jipya. Lissu alikwenda kituoni hapo juzi kuchukua gari hilo ikiwa imepita miaka saba…

Read More

Kwa Mzamiru kumewaka, Simba ikizubaa…, Meneja afunguka

SIMBA imetuliza presha kwa Kibu Denis ambaye imefanikiwa kumbakisha, lakini sasa kuna jipya tena na ikizubaa kidogo yule mido asiyechoka mithili ya mnyama punda atang’oka baada ya kutengewa mamilioni ya fedha. Kiungo huyo, Mzamiru Yassin ambaye kusikia jina lake linavuma ni mara chache sana, ingawa akiwa uwanjani anapiga kazi kubwa kuifichia aibu timu hiyo. Mkataba…

Read More

MSOMERA WANAPIKA KISASA – Mzalendo

Upishi wa kutumia kuni na mkaa kwa wakazi wa kijiji cha Msomera, wilayani Handeni Mkoa wa Tanga unakuwa ni historia mara baada ya wakazi hao kupatiwa majiko banifu na mitungi ya gesi ya kupikia. Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi majiko hayo katika Kijiji hicho jana Mei 17, Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema…

Read More

Meridianbet watoa msaada wa chakula Chamazi

  JUMAMOSI ya leo Meridianbet wametua pale Chamazi Magengeni kwaajili ya kutoa msaada wa vyakula kwa wakazi wa hapo hasa kwa zile familia ambazo zina uhitaji na zisizjiweza kwa kushirikiana na KMC. Meridianbet ambao ndio wadhamini wakuu wa KMC, timu ambayo msimu huu imekuwa na mwenendo mzuri kwenye ligi ikishika nafasi ya 5 mpaka sasa…

Read More

Watu wenye ulemavu wadai waajiri hawafuati Sheria ya Ajira

Mwanza. Watu wenye ulemavu wamelalamikia ukiukwaji wa Sheria ya Ajira inayoelekeza kampuni na mashirika kuajiri angalau wafanyakazi watatu wenye ulemavu kati ya 20 kuwa haizingatiwi. Pia, wamelalamikia ushirikishwaji mdogo kwenye fursa za kimaendeleo zinazotolewa na Serikali na wadau wa maaendeleo pamoja kukithiri kwa baadhi ya vitendo vya ubaguzi. Wakizungumza leo Jumamosi Mei 18, 2024 kwenye…

Read More

Sido yaja na mwarobaini kukabili sumu kuvu

Lindi. Vijana zaidi ya 50 wamepatiwa mafunzo ya utengenezaji wa vihenge ili kukabiliana na sumu kuvu. Mafunzo hayo yametolewa na Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (Sido)Mkoa wa Lindi. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumamosi Mei18,2024 wakati wa kufunga mafunzo  hayo, Mratibu wa Kuendeleza Teknolojia,  Mhandisi Abraham Malay amesema mafunzo hayo yamelenga  kuwasaidia vijana kukabiliana na…

Read More

GEAY: Nini Boston Marathon! Ni zamu ya Olimpiki

UMEPITA mwezi mmoja tangu kufanyika kwa mashindano makubwa ya dunia ya mbio za Boston Marathon nchini Marekani, ambapo mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay alikuwa ni miongoni mwa nyota ambao walipewa nafasi kubwa ya kushinda. Hata hivyo, Geay ambaye alifanya vizuri mara mbili katika mbio hizo akimaliza wa nne mwaka 2022 kwa muda wa…

Read More