
NMB ‘yafunga ndoa’ na wanawake wanaomiliki shule, vyuo Tanzania
BENKI ya NMB imeingia makubaliano rasmi (MoU) na Chama cha Wanawake Wamiliki wa Shule na Vyuo Tanzania (TAWOSCO), yaliyosainiwa sambamba na uzinduzi wa ‘NMB School Proposition, lengo likiwa ni kuwawezesha kupata mikopo yenye riba nafuu kwa maendeleo ya taasisi zao. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). MoU hiyo imesainiwa na Afisa Mkuu wa Fedha wa NMB,…