KUELEKEA SIKU YA VIPIMO DUNIANI WMA YAENDELEA KUTOA ELIMU, KUKUMBUSHA SHERIA KWA WADAU

KUELEKEA Maadhimisho ya Siku ya Vipimo Duniani inayoadhimishwa Mei 20 kila mwaka, Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA,) imeendelea kuwafikia wadau mbalimbali na kutoa elimu na kuwakumbusha masuala mbalimbali yanayohusu vipimo ikiwemo uzingatiaji wa sheria za vipimo pamoja na afya. Akizungumza na wafanyabiashara wa soko la Sterio, Temeke jijini Dar es Salaam Meneja wa WMA Mkoa…

Read More

Ufaulu famasia bado pagumu | Mwananchi

Dar es Salaam. Hali imeendelea kuwa ngumu katika ufaulu wa mtihani wa leseni ya Baraza la Famasia Tanzania kada ya watoa dawa na fundi dawa wasaidizi, baada ya robo tatu ya wanafunzi kufeli. Katika mtihani huo uliohusisha watahiniwa 200, wanafunzi 184 wameshindwa kufaulu katika awamu ya kwanza, hivyo baadhi yao wametakiwa kurudia mtihani huku wengine…

Read More

Benki ya NBC Yazindua Bima ya Afya kwa Wakulima, Yatambulisha Kampeni Kuhamasisha Kilimo cha Ufuta Lindi na Mtwara.

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na kampuni ya Bima ya Assemble Insurance imezindua huduma ya Bima ya Afya kwa wakulima nchi nzima ikilenga kurahisisha upatikanaji wa huduma hiyo muhimu kwa kundi hilo. Hatua hiyo inatajwa kuwa itasaidia kuimarisha sekta ya afya ambayo ni moja ya nguzo muhimu katika ukuaji wa kilimo nchini….

Read More

Yanga yaitisha Simba kwa Inonga, mkanda mzima upo hivi

HENOCK Inonga ameomba udhuru aende Ufaransa kupumzika, lakini kuna machale yanawacheza viongozi wa Simba juu ya uamuzi wa beki huyo kufosi kuondoka hasa wakikumbuka awali kabla ya kutua Msimbazi ilibaki kidogo atue Jangwani. Mkongomani huyo ameomba kuondoka licha ya kwamba ana mkataba wa mwaka mmoja huku klabu inayohusishwa nae ikiwa ni FAR Rabat ya Morocco,…

Read More

NYUMA YA PAZIA: Mbappe na karatasi zake za ushahidi, kuna maswali?

“..USHAHIDI upi mwingine unahitaji?” Hakusema mdomoni. Moyo wake ulikuwa unaongea. Asingeweza kutamka hivyo mdomoni wakati akirekodi video yake ya kuaga. Kylian Mbappe. Amewaaga PSG mapema wiki hii. Anaondoka zake PSG. Lilikuwa suala la muda tu. Alionekana mtulivu wakati akiaga. Mara ya mwisho serikali ya Ufaransa iliingilia kati kuondoka kwake. Alipoamua kubaki ikawa sherehe kwa Wafaransa….

Read More