Serikali, viongozi wa dini wajadili kutokomeza uhalifu

Dodoma. Katika kukabiliana na matukio ya uhalifu yanayotokea katika jamii Serikali imefanya kikao maalumu na viongozi wa dini chenye  lengo la kudhibiti matukio ya uhalifu. Akizungumza katika kikao hicho kilichofanyika jijini Dodoma leo Mei 17, 2024 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amewaomba viongozi hao wa dini kuendelea kuisaidia na isichoke…

Read More

Tigo Yaja na Apliksesheni ya kisasa ya ‘Super App’

Kadili siku zinavyozidi kusonga ndivyo teknolojia nayo inavyozidi kushika kasi na hapo ndipo Kampuni ya mtandao wa simu ya Tigo ilipoamua kuja kidijitali zaidi kwa kuzindua App ya kisasa kabisa ‘Super App’ ya Tigo Pesa ambayo itawarahisishia maisha watumiaji wa huduma za kampuni hiyo. Akizungumza kwenye uzinduzi huo, Afisa Mkuu wa Tigo Pesa, Angelica Pesha…

Read More

Kuziona Yanga, Ihefu buku kumi tu

WAKATI homa ya mchezo wa nusu fainali ya pili ya Kombe la FA kati ya Yanga dhidi ya Ihefu FC ikizidi kupanda, kiingilio katika mchezo huo imetajwa ni Sh10,000. Mchezo huo unaotazamiwa kuwa na upinzani mkali na kusisimua kutokana na ubora wa timu zote, utapigwa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha na kiingilio…

Read More

DKT. TULIA AKUTANA NA VIONGOZI WAKUU GENEVA

  Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akimkabidhi Spika wa Algeria Mhe. IBrahim Boughali, zawadi ya ngao yenye kuakisi IPU na asili ya Tanzania katika Ofisi za Makao Makuu ya IPU, Geneva nchini Uswisi leo tarehe 17 Mei, 2024 wakati…

Read More

JUKWAA la Tatu la Utekelezaji wa Ushirikishwaji Watanzania Sekta ya Madini kufanyika Mei jijini arusha

 JUKWAA la Tatu la Utekelezaji wa Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini litafanyika Mei 22 hadi 24, 2024 katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Arusha International Conference Centre (AICC). Jukwaa hilo linafanyika kila mwaka limeandaliwa na Serikali kupitia Tume ya Madini chini ya Wizara ya Madini  lina lengo la  kukutanisha wadau mbalimbali katika…

Read More

Siri ubora wa Guede | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Joseph Guede amezungumzia mambo manne yaliyomrejesha kwenye fomu haraka, huku akiweka wazi mipango yake msimu ujao. Guede aliyetua Jangwani katika dirisha dogo la usajili lililopita, awali alionekana kuwa na mwanzo mgumu katika kikosi cha kocha Miguel Gamondi, lakini kadri muda unasonga ameonekana kubadili upepo kiasi cha kuwazidi kete mastraika Clement Mzize na…

Read More

DAWASA yamaliza kero ya maji Nyakahamba iliyodumu kwa miaka 5

Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imekamilisha utekelezaji wa mradi wa kuongeza msukumo wa maji kwenye kitongoji cha   Nyakahamba Kata ya Kerege  Wilaya ya Bagamoyo na kuwezesha upatikanaji wa huduma kwa wakazi takribani 250. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizungumzia utekelezaji wa mradi huo, Meneja wa Mkoa wa DAWASA…

Read More

NACONGO WAANZA MCHAKATO UCHAGUZI WA VIONGOZI WAO

  DAR ES SALAAM  Kamati ya Mpito ya Kuratibu Uchaguzi wa Baraza la Taifa la Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NACONGO), imetoa wito kwa viongozi na wanachama wa Mashirika hayo, kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika Baraza hilo kuanzia ngazi ya Wilaya, Makundi Maalum, Mkoa hadi Taifa. Wito huo ulitolewa Mei 16,2024 Jijini Dar es…

Read More

Ntibazonkiza anatamba tu Burundi | Mwanaspoti

Kiungo wa Simba, Saido Ntibazonkiza ameendelea kuwa lulu katika kikosi cha timu ya taifa ya Burundi baada ya kujumuishwa katika kundi la wachezaji 21 watakaotumika kwa mechi mbili za kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Kenya na Shelisheli mwezi ujao. Ntibazonkiza ni miongoni mwa nyota wawili pekee kutoka Tanzania waliojumuishwa kwenye kikosi hicho cha…

Read More