WADAU WA MADINI KUKUTANA JIJINI ARUSHA

_Na Vicky Kimaro, Tume ya Madini_ JUKWAA la Tatu la Utekelezaji wa Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini litafanyika Mei 22 hadi 24, 2024 katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Arusha International Conference Centre (AICC). Jukwaa hilo linafanyika kila mwaka limeandaliwa na Serikali kupitia Tume ya Madini chini ya Wizara ya Madini lina…

Read More

Mbunge ashauri kuepuka mzigo wa wahamiaji haramu

Dodoma. Serikali imesema ushauri wa kuwarejesha papo kwa papo wahamiaji haramu wanapokamatwa utazingatiwa katika mapitio yanayoendelea ya Sheria ya Uhamiaji. Naibu Waziri wa Mambo Ndani ya Nchi, Daniel Sillo ameyasema hayo leo Mei 17,2024 wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Mwasi Kamani. Mwasi amehoji kama Serikali haioni haja ya kupitia sera, sheria, kanuni…

Read More

Marekani yakamilisha bandari ya misaada kwenye Pwani ya Gaza – DW – 16.05.2024

Kamandi Kuu ya jeshi la Marekani, CENTCOM, imesema Alhamisi kwamba bandari ya muda inayoelea itakayorahisisha kuingizwa misaada imekamilika kwenye pwani ya Ukanda wa Gaza. Kwenye mtandao X,  zamani twitter, Kamandi hiyo ya jeshi la Marekani imesema malori yaliyobeba msaada wa kibinadamu yanatarajiwa kuanza kusonga mbele kwenye fukwe za pwani hiyo katika siku zijazo na kwamba…

Read More

Straika KVZ hashikiki ZPL, atupia manne akiiua Maendeleo

STRAIKA Suleiman Mwalim Abdallah wa KVZ ameonyesha dhamira ya kubeba kiatu cha dhahabu cha Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) kwa msimu huu, baada ya jana Alhamisi kuweka rekodi akitupia mabao manne wakati maafande hao wakiizamisha Maendeleo kwa mabao 7-3. Mabao hayo manne yamemfanya nyota huyo wa KVZ kufikisha 19 na kuzidi kuwaacha washambuliaji…

Read More

VIDEO: Moto wateketeza nyumba ya vyumba 12 Moshi

Moshi. Moto  ambao chanzo chake bado hakijajulikana, umeteketeza nyumba ya biashara yenye vyumba zaidi ya 12, baa na jiko. Nyumba hiyo ambayo ipo katikati ya Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, ilianza kuwaka moto saa 10 alfajiri ya kuamkia leo Ijumaa Mei 17, 2024. Hata hivyo, baadhi ya mashuhuda wameiambia Mwananchi Digital kuwa moto huo ungeweza…

Read More

Lomalisa: Mziki wa kina Pacome, Yao si mchezo

BEKI wa Yanga, Joyce Lomalisa amesema ujio wa Pacome Zouzoua, Attohoula Yao umechangia kwa kiasi kikubwa timu yao kutwaa taji la tatu mfululizo ambalo ni la 30  tangu wameanza kushiriki Ligi Kuu Bara. Lomalisa ambaye mkataba wake unamalizika msimu huu ametwaa mataji mawili ndani ya Yanga katika misimu ya 2022/23 na 2023/24, ameiambia Mwanaspoti kuwa…

Read More