Aliyekata rufaa kesi ya ubakaji mtoto,  kufia gerezani

Kilimanjaro. Wahenga waliwahi kusema mtaka nyingi nasaba, hupata mingi misiba, ndiyo ujumbe unaoendana na kilichomkuta Emmanuel Steven baada ya Mahakama ya Rufani kuikataa rufaa yake na kubariki kifungo cha maisha jela alichohukumiwa kwa kumbaka mtoto wa miaka sita. Mbali na Jopo la majaji watatu wa mahakama hiyo, Shaban Lila, Lugano Mwandambo na Lucia Kairo kubariki…

Read More

Chumvi inavyochochea shinikizo la juu la damu

Dar es Salaam. Iwapo unataka kuepuka shinikizo la juu la damu na maradhi yanayoambatana na ugonjwa huo, wataalamu wameeleza mambo matano mtu unayopaswa kuyafuata kuepuka tatizo hilo wanalolitaja ni ‘muuaji msiri.’ Mambo ya kuzingatia ni ulaji wa chumvi iliyopikwa pamoja na kupunguza matumizi makubwa ya bidhaa hiyo. Mwili wa binadamu unahitaji chumvi, kutokana na bidhaa…

Read More

Athari kwa mtoto aliyeachishwa ziwa ghafla

Dodoma. Suala la kuachisha mtoto kunyonya maziwa ya mama linahitaji maandalizi ya kutosha, ili hata anapoachishwa aendelee kuwa na afya nzuri. Hali ilikuwa tofauti kwa Milka Chedego, aliyemwachisha mwanaye wa umri wa mwaka mmoja na miezi sita ghafla, bila maandalizi yoyote, hali iliyosababisha utapiamlo kwa mtoto. Milka anasema hali hiyo ilimgharimu fedha nyingi na muda,…

Read More

Wanaume 17, 694 washiriki kupeleka wake zao kliniki

Unguja. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema kuwa kinababa 17,694 sawa na asilimia 34 ya kinamama wote waliokwenda kliniki ya afya ya uzazi na mtoto walishiriki  kuwapeleka wenza wao kupata huduma za afya ya uzazi na mtoto wakati wa ujauzito. Hayo yamebainika leo Mei 17, 2024 katika mkutano wa 15 wa Baraza la Wawakilishi Chukwani…

Read More

Ulinzi ndiyo tatizo Mtibwa Sugar

Wakati Mtibwa Sugar ikiwa mkiani mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kucheza michezo 27 na kukusanya jumla ya pointi 20, ila inashika nafasi ya nne kwenye timu 16 ambazo zimefunga idadi kubwa ya mabao msimu huu, huku ikionekana kuwa na tatizo kubwa kwenye eneo la ulinzi. Timu hiyo inayopambana na janga la kushuka…

Read More