Wataka fursa ziguse wakulima, wafugaji wadogo

Dar es Salaam. Wadau wa kilimo, uvuvi na ufugaji wamesema hatua ya Serikali ya kuendelea kuzifungamanisha taasisi za fedha na sekta hizo ni hatua nzuri.  Lakini wametoa angalizo kuwa fursa hizo ziwaguse wakulima, wafugaji wakubwa na wadogo badala ya kuwaangalia zaidi wakubwa. Walieleza hayo jana wakati wakitoa maoni yao kuhusu hatua ya Benki ya Maendeleo…

Read More

NEMC YATOA SIKU 90 KWA WENYE VITUO VYA AFYA NA HOSPITALI KUWEKA MIUNDOMBINU SAHIHI YA KUTEKETEZA TAKA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limetoa siku 90 kwa taasisi zote zinazojishughulisha na utoaji wa huduma za afya nchini kuweka miundombinu sahihi ya kuteketeza taka zinazotokana na huduma za afya au kuwapa wakandarasi waliothibitishwa na sheria ili kuepuka kuhatarisha afya na mazingira kwa ujumla. Baada…

Read More

Mreno wa Azam akalia kuti kavu

AZAM FC iko mbioni kuachana na Kocha wa Fiziki na Mtaalamu wa tiba za Wanamichezo (physiotherapist), Mreno Joao Rodrigues baada ya msimu huu kuisha huku ikielezwa sababu kubwa ni majeraha ya wachezaji yanayoiandama. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zinasema Joao hayupo kwenye mipango yao msimu ujao huku sababu ikielezwa wachezaji na viongozi kutokuwa na…

Read More

Benki ya CRDB yawakaribisha Wanahisa kwenye Mkutano Mkuu wa 29

  Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Benki ya CRDB, Dkt. Ally Laay (katikati), Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Benki ya CRDB, Prof. Neema Mori (wapili kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (watatu kushoto), Katibu wa Kampuni Benki ya CRDB, John Rugambo (watatu kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank Foundation, Tully Esther…

Read More

Aucho ataja kilichoibeba Yanga msimu huu 2023/2024

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Khalid Aucho amezungumzia jinsi majeraha yalivyompunguzia kasi ya kupambana msimu huu (2023/24), hata hivyo kilichompa faraja ni timu hiyo kunyakua taji la ubingwa mara tatu mfululizo. Aucho ambaye amechukua ubingwa mara mbili akiwa na Yanga aliyojiunga nayo msimu wa 2021/22 akitokea El Makkasa, alisema kuna kitu kimeongezeka kwenye karia yake, tangu…

Read More

ACT-Wazalendo, CUF vyasusia uchaguzi Kwahani

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimetangaza kususia uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Kwahani mjini Unguja utakaofanyika Juni 8, 2024. Sababu za kususia uchaguzi huo imetajwa ni mwendelezo wa chama hicho kikuu cha upinzani Zanzibar, kushinikiza watendaji waliopo kujiuzulu ili kupata makamishna wapya na sekretarieti mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi. Kwa nyakati tofauti…

Read More

TMDA INAZINGATIA UBORA WA DAWA ZA BINADAMU NCHINI-RC IRINGA

MKUU wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Peter Serukamba amewataka Waandishi wa Habari nchini kuripoti habari sahihi ilikuepuka taharuki ikiwemo suala la kuripoti habari za dawa na vifaa tiba ambalo lipo chini ya Mamlaka ya dawa na vifaa tiba nchini (TMDA)Akifungua kikao kazi hiko, mapema leo Mei 16, 2024 kilichowakutanisha Wahariri na Waandishi wa Habari kutoka…

Read More

Kinzumbi Yanga, Musonda Mazembe dili lipo hivi!

MABOSI wa TP Mazembe wakiongozwa na CEO, Frederic Kitengie wiki hii wametua Makao Makuu ya Yanga yaliyopo Jangwani jijini Dar es Salaam kwa masuala mawili makubwa, kwanza kubadilishana uzoefu na lingine kujenga urafiki. Kuna dili linakwenda kufanyika mwishoni mwa msimu huu. Taarifa ilizozipata Mwanaspoti ni kwamba, Yanga na TP Mazembe wameanza kujadili namna ya kubadilishana…

Read More