Peneza arusha kombora Chadema, wenyewe wajibu

Dar es Salaam. Aliyewahi kuwa Mbunge wa Viti Maalumu wa Chadema, Upendo Peneza amekishutumu chama chake cha zamani,  akidai kilikuwa kikiwachangisha fedha wabunge, lakini matumizi yake hayakuwahi kuwekwa wazi. Peneza ambaye Januari 22 mwaka huu alijiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) aliyesema hayo jana katika mahojiano maalumu na Radio ya Clouds FM. Alisema Chadema imekuwa…

Read More

TUTATEKELEZA MIRADI YOTE KAMA ILIVYORATIBIWA-MAJALIWA

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea kutekeleza miradi yote ikiwemo ya kimkakati kwa ajili ya kuhudumia jamii. Mheshimiwa Majaliwa ameongeza kuwa Wizara ya Fedha itaendelea kupeleka fedha katika kila wizara ili miradi yote iliyoratibiwa na wizara hizo ikiwemo ya kilimo ziweze kukamilisha kazi zote zilizopangwa katika mwaka huu wa fedha. Ameyasema hayo leo…

Read More

Songwe yaweka mikakati kuongeza uzalishaji wa kahawa

Songwe. Wakati mkoa wa Songwe ukishika nafasi ya pili kitaifa kwa uzalishaji zao la kahawa aina ya Arabika, Serikali mkoani humo imesema inahitaji kuongeza uzalishaji wake kutoka tani 11,355 hadi 32,617 ifikapo mwakani 2025. Hayo yamebainishwa leo Mei 16, 2024 wakati wa hafla ya kufunga mafunzo kwa wakulima 681 wa zao hilo kutoka vyama sita…

Read More

Makonda aipongeza Benki ya CRDB msaada wa Pikipiki kwa Jeshi la Polisi kuimarisha Usalama kwa Watalii Jijini arusha

Arusha 16 Mei 2024 – Serikali imeipongeza Benki ya CRDB kwa kutoa msaada wa pikipiki kwa Jeshi la Polisi mkoani Arusha ili kuimarisha doria zitakazoongeza usalama kwa watalii wanaokuja nchini. Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alipopokea pikipiki hizo zenye thamani ya Shilingi Milioni 50 kwenye hafla fupi ya makabidhiano…

Read More

JKT yaongeza mahanga kwa vijana

Kigoma. Jumla ya vijana 14,100 watapatiwa nafasi katika mahanga 141 yaliyojengwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassan la kurekebisha mahanga ili waweze kuchukua vijana wengi zaidi. Itakumbukwa wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya JKT, Rais Samia aliitaka Wizara ya Ulinzi kuandaa mpango mkakati wa…

Read More

WAZIRI MAKAMBA AWASILI NCHINI CHINA KWA ZIARA YA KIKAZI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba (Mb.) leo tarehe 16 Mei 2024 amewasili nchini China kuanza ziara ya kikazi. Ziara hii mbali na kudumisha ushirikiano wa kidiplomasia wa kihistoria uliopo baina ya mataifa haya mawili ni muendelezo wa utekelezaji wa Diplomasia ya Uchumi ikilenga kufuatilia utekelezaji wa makubaliano…

Read More