Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • Page 15
Habari

Sintofahamu fidia mradi wa bomba la mafuta EACOP

May 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati wananchi wa Manyara wakilalamika kulipwa fidia ndogo waliyolipwa kupisha ujenzi wa Bomba la  Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), Shirika la

Read More
Habari

Mkuu wa Wilaya ya Lushoto; Niko Tayari Kushirikiana na VETA

May 30, 2024 Admin

Mkuu wa Wilaya ya Lushoto Japhari Kubecha akizungumza na Afisa Uhusiano Mwandamizi wa VETA Dora Tesha wakati alipotembelea Banda la VETA katika Maadhimisho ya Kitaifa

Read More
Habari

Chelsea na Napoli kwa sasa hawafanyi kazi ya kubadilishana kati ya Victor Osimhen na Romelu Lukaku.

May 30, 2024 Admin

Kwa sasa, hakuna mpango wa kubadilishana unaoendelea kati ya Klabu ya Soka ya Chelsea na Napoli kwa kubadilishana Victor Osimhen na Romelu Lukaku. Kufikia sasa,

Read More
Habari

Lema abwaga manyanga Chadema kaskazini

May 30, 2024 Admin

MWENYEKITI anayemaliza muda wake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, ametangaza kutogombea tena nafasi hiyo ili kulinda maslahi ya

Read More
Habari

Mbunge amtaka waziri asimpige ‘sound’

May 30, 2024 Admin

Mbunge wa viti maalumu, Cecilia Pareso amemtahadharisha Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa kwamba amechoka kupigwa ‘sound’ (maelezo) kuhusu ujenzi wa Barabara ya Mang’ola-Lalago hadi mkoani

Read More
Habari

AKU Yataka Vijana Kujiunga Katika Shahada ya Uuguzi

May 30, 2024 Admin

[8:37 PM, 5/30/2024] Chalila Tg: AKU yataka vijana kujiunga katika shahada ya Uuguzi Na Chalila Kibuda, Michuzi TV TangaCHUO Kikuu cha Aga Khan Tanzania (AKU)

Read More
Habari

MAKUMBUSHO INAYOTEMBEA YATINGA BUNGENI – DODOMA

May 30, 2024 Admin

Na Sixmund Begashe, Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Taasisi ya Makumbusho ya Taifa, imeweka onesho adimu la vioneshwa vya urithi wa asili na

Read More
Habari

FCC kutumia akili mnembe(AI) kuimarisha utendaji kazi

May 30, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Kukua kwa Teknolojia katika Sekta ya TEHAMA na uwepo wa akili mnemba (IA), kutasaidia kuongeza tija na ushindani wa Biashara

Read More
Habari

Ukosefu wa ajira kwa vijana unavyozalisha ‘uchawa’

May 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Vijana kukosa mamlaka ya kisiasa na nguvu za kiuchumi, kumetajwa kuwa chimbuko la baadhi yao kujitafutia fursa kwa kugeuka ‘chawa.’ Chawa ni

Read More
Habari

BALOZI MUSSA AONGOZA MKUTANO WA ISHIRINI NA SITA WA KAMATI YA MAKATIBU WAKUU WA IORA

May 30, 2024 Admin

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Shaibu Mussa akiongoza Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 14 15 16 … 279 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.