Mbinu mpya za ukeketaji zamulikwa

Morogoro. Wakati Serikali ikipambana na vitendo vya ukekektaji nchini, baadhi ya jamii zinazoendeleza mila hizo zimekuja na mbinu mpya ya kutumia dawa aina ya Vicks, ndulandula pamoja na majivu ambayo yamekuwa yakiondoa taratibu sehemu inayotakiwa kukeketwa bila kuweka jeraha. Hayo yamebainishwa jana Mei 15, 2024 na Joshua Ntandu Ofisa Mtendaji Mkuu wa shirika lisilokuwa na…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Geita Gold tuwaweke katika maombi

BAADA ya kutoka sare ya bila kufungana na Coastal Union, haraka nikakimbilia msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ili nione Geita Gold iko nafasi ya ngapi na ina pointi ngapi. Matokeo hayo kumbe hayakuwa na faida kubwa kwa sababu yaliifanya timu hiyo kubakia katika nafasi ya 15 kwenye msimamo wa ligi ikiwa imekusanya pointi 24….

Read More

Mbowe: Hatuoni faida ya demokrasia

Mwenyekiti wa Chadema, Fremaan Mbowe amesema Tanzania haijanufaika na miaka 30 ya demokrasia kutokana na mifumo iliyopo kukinufaisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinachoamini fikra zake ndizo sahihi katika kuongoza nchi. Anaripoti Salehe Mohamed, Zanzibar… (endelea). Mbowe ametoa kauli hiyo leo Alhamis katika mkutano wa demokrasia kwa mwaka 2024 unaofanyika katika Hotel ya Golden Tulip, ambapo…

Read More

WAZIRI WA FEDHA DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA ECOBANK TANZANIA

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Ecobank Tanzania, Bw. Charles Asiedu alipowasili katika kikao kilichoangazia ushirikiano kati ya Serikali na benki hiyo, jijini Dodoma. Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Ecobank Tanzania, Bw. Charles Asiedu, kuhusu ushirikiano kati ya…

Read More

Jezi mpya ya Arsenal msimu wa 2024/25 hii hapa

Arsenal wametoa jezi yao mpya ya nyumbani kwa msimu wa 2024/25 huku maandalizi ya kampeni mpya yakiendelea, hata kabla ya mwisho wa msimu huu. Jezi ya Adidas, ambayo inauzwa kwenye tovuti ya klabu hiyo, ni ya kitamaduni yenye rangi nyekundu na nyeupe, yenye mistari ya baharini begani. Inaangazia beji rahisi ya kanuni iliyopambwa kwenye kifua….

Read More

DKT. NCHEMBA AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA ECOBANK

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiagana na Mkurugenzi Mkuu wa Ecobank Tanzania, Bw. Charles Asiedu, baada ya kikao kilichoangazia ushirikiano kati ya Serikali na benki hiyo, jijini Dodoma. Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Ecobank Tanzania, Bw. Charles Asiedu, kuhusu ushirikiano kati ya…

Read More

Tanga Uwasa yafungua njia matumizi ya hatifungani

Dodoma. Serikali imezitaka taasisi zake kutumia utaratibu wa hatifungani kugharimia miradi ya maendeleo badala ya kutegemea bajeti pekee. Agizo hilo limetolewa baada ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanga (Tanga Uwasa) kuorodhesha hatifungani ya miundombinu ya maji na utunzaji wa mazingira Mkoa wa Tanga katika Soko la Hisa la Dar es Salaam. Uorodheshwaji…

Read More