
India, Pura wajadiliana sekta ya mafuta na gesi asilia
Dar es Salaam. Ubalozi wa India nchini umekutana kwa mazungumzo na Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (Pura) kupata taarifa kuhusu vitalu vya utafutaji mafuta na gesi asilia. Mazungumzo hayo yamefanyika jana Mei 15, 2024 katika ofisi za Pura na kuhudhuriwa na Katibu wa Pili wa Balozi wa India nchini Tanzania (Masuala ya…