TAASISI ZA FEDHA ZAKOPESHA TRILIONI 33

Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma. Serikali imesema kuwa hadi kufikia tarehe 31 Desemba 2023, mikopo yenye jumla ya shilingi trilioni 33.2 imetolewa na Benki na taasisi za fedha ambazo hutoa mikopo yenye dhamana inayotosheleza (fully secured), yenye dhamana inayotosheleza sehemu tu ya mkopo(partially secured) na isiyo na dhamana (unsecured). Hayo yameelezwa bungeni, jijini Dodoma na…

Read More

WAZAZI LINDI WAPEWA SALAMU KUEPUKA MIGOGORO INAYOATHIRI MALEZI YA WATOTO NDANI YA FAMILIA

Na,Elizaberth Msagula,Lindi Jamii  Mkoani Lindi wametakiwa kuitumia vyema mifumo iliyowekwa na Serikali katika kushughulikia migogoro na tofauti zinazojitokeza na kushindikana kwenye familia ambayo kwa kiasi kikubwa inatajwa kuchangia wazazi kuachana na kusababisha watoto kuathiriwa na hivyo kukosa malezi imara. Mifumo hiyo ni pamoja na madawati ya jinsia na Ofisi  za ustawi wa jamii zilizopo kwenye…

Read More