Majeruhi wanne ajali iliyoua Saba morogoro waruhusiwa kutoka hospitali

Majeruhi wanne kati ya watano waliokuwa wanatibiwa katika hospitali ya Wilaya Mvomero waliotokana na ajali iliyoua watu saba wameruhusiwa kutoka hospitali huku mmoja akipelekwa hospitali ya Rufaa Mkoa Morogoro kwa matibabu zaidi. Akizungumza na ayo tvna Millard ayo .com Mganga mfawidhi hospitali ya Wilaya Mvomero Dokta Frances Paul amesema majeruhi hao wanne walitibiwa na kuruhusiwa…

Read More

Atupwa jela miezi sita kwa kufunga ofisi za kijiji

Simanjiro. Mkazi wa Kijiji cha Okutu Wilayani Simanjiro mkoani Manyara, Melkzedek Moikani (33) amehukumiwa kwenda jela miezi sita kwa kosa la kufanya fujo na kufunga ofisi ya kijiji kwa kufuli. Imeelezwa kuwa kitendo hicho kilizua hofu kwa wananchi waliofuata huduma katika ofisi hiyo, lakini pia kilikwamisha shughuli za maendeleo. Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatano Mei…

Read More

Taasisi za serikali zatakiwa kuanzisha hatifungani

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa wito kwa Taasisi za Serikali kutumia njia mbalimbali bunifu ikiwa ni pamoja na kuanzisha hatifungani ya kupata fedha ili ziweze kugharamia miradi ya maendeleo kwa njia mbadala (APF) na kupunguza utegemezi kutoka Mfuko Mkuu wa Serikali. Bashungwa ametoa wito huo Mei 15, 2024 jijini Dodoma kwa niaba ya Waziri…

Read More

THE DESK & CHAIR YAWATUA NDOO KICHWANI AKINAMAMA KITONGOSIMA KWA MILIONI 20

NA BALTAZAR MASHAKA,MAGU TAASISI ya The Desk & Chair Foundation,imekamilisha na kukabidhi mradi mkubwa wa kisima cha maji katika Kijiji cha Kitongosima wilayani Magu,utakaohudumia zaidi ya wananchi 2,000 wa kijiji hicho na wanafunzi 840 wa Shule ya Msingi Simakitongo. Pia mradi huo uliogharimu sh.milioni 20,utawanufaisha watumishi na watoto 75 wenye migongo wazi na vichwa vikubwa…

Read More

Nabi: Yanga hii itachukua sana Bara 

KOCHA wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi ametoa tahadhari kwa timu zingine Ligi Kuu Bara kutokana na moto ilionao Yanga akisema kama hazitakaza, basi ubingwa zitausikia katika bomba kwa miaka mingi ijayo. Nabi ambaye msimu uliopita aliumaliza kwa mafanikio akiwa na kikosi hicho kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara, Kombe la Shirikisho (FA), Ngao…

Read More

Dkt.Biteko ateta na balozi wa Marekani nchini

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Marekani hapa nchini Dkt. Michael Battle Sr. kuhusu masuala mbalimbali ya maendeleo ikiwamo matumizi ya vyanzo mbalimbali vya nishati ya umeme Mazungumzo hayo yamefanyika Mei 14, 2024 katika Ofisi ndogo za Wizara, Jijini Dar es Salaam, ambapo viongozi…

Read More

HALMASHAURI YA BAGAMOYO YAHITAJI MADAWATI 7,000 KATIKA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI- DED SELENDA

HALMASHAURI ya wilaya ya Bagamoyo, Mkoani Pwani inakabiliwa na changamoto ya upungufu wa madawati 7,000 katika shule za msingi na sekondari. Kutokana na mahitaji ya madawati hayo inahitajika kiasi cha sh.milioni 350 ili kuondokana na tatizo hilo. Akitoa ufafanuzi huo katika baraza la madiwani, utekelezaji wa kata kwa kata kipindi cha miezi mitatu January hadi…

Read More