Ulega aeleza wizara yake ivyombadilisha Mnyeti

Dodoma. Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumpeleka katika wizara hiyo kwa sababu miaka miwili iliyopita ustaarabu ulikuwa ni mdogo kwake. Hayo yamesemwa leo jioni Jumanne, Machi 14, 2024 na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega wakati akihitimisha hoja ya bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka…

Read More

KMKM, KVZ zang’olewa Kombe la Shirikisho Zanzibar

MAAFANDE wa KVZ na KMKM zimeaga michuano ya Kombe la Shirikisho Zanzibar (FA) baada kushindwa kufurukuta katika mechi za robo fainali ya michuano hiyo. KVZ iling’olewa jana Jumatatu kwa kufungwa na Mlandege kwa penalti 4-3 baada ya dakika 90 la pambano hilo lililopigwa Uwanja wa Mao, mjini Unguja kumalizika kaa suluhu. Katika mechi nyingine ilipigwa…

Read More

Machungu intaneti bado yauma | Mwananchi

Dar es Salaam. Huenda athari zaidi za kukosekana kwa huduma ya mtandao wa intaneti, zikaendelea kuonekana kutokana na mazingira yanayoonyesha huenda tatizo hilo likachukua zaidi ya siku 10 tangu lilipoanza. Tatizo la kukosekana kwa mtandao huo, zilianza asubuhi ya Mei 12, mwaka huu baada ya kukatika kwa mkongo wa mawasiliano baharini wa SEACOM na EASSy…

Read More

India yaonesha nia duru ya tano ya kunadi vitalu

Ubalozi wa India Nchini Tanzania umekutana na kufanya mazungumzo na Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa lengo la kupata taarifa zaidi kuhusu zoezi la kunadi vitalu vya utafutaji wa mafuta na gesi asilia linalotarajiwa kufanyika Tanzania Bara Mwaka huu. Mazungumzo hayo yamefanyika Mei 14, 2024 katika Ofisi za PURA – Dar…

Read More

Wagoma kubeba mimba, kisa kukosa huduma ya zahanati

Wanawake hao wamesema wanatumia nauli ya Sh14,000 mpaka Sh18,000  kutafuta huduma za afya Kijiji cha Bushiri TS; Wakazi wa Kijiji cha Mwembeni hali hiyo inawaweka katika hatari ya kupoteza maisha wao au watoto watakaowazaa S: Wanawake hao wamesema wanatumia nauli ya Sh14,000 mpaka Sh18,000  kutafuta huduma za afya Kijiji cha Bushiri By Rajabu Athumani, Mwananchi…

Read More

Meridianbet Yapiga Hodi Soko la Nasdaq Marekani

* “Meridianbet Yapiga hatua kwenye soko la Kimataifa na sasa habari njema kwa wateja wake ni kwamba wanaweza kuwa sehemu ya Kampuni hii kubwa ya ubashiri na michezo ya kasino kwa kununua hisa” UMEPITA Mwaka mmoja tangu yafanyike makubaliano ya maridhiano ya kibiashara kati ya Meridianbet na Golden Matrix Group, ilikuwa ni Januari 2023 sehemu…

Read More