Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • Page 17
Habari

Ac Monaco kuhitaji kumsajili Broja.

May 30, 2024 Admin

Kwa mujibu wa L’Équipe, AS Monaco kwa sasa wapo kwenye mazungumzo na Chelsea kuhusu usajili wa Armando Broja (22). Klabu hiyo ya Principality kwa sasa

Read More
Habari

Waathirika wa mafuriko Rufiji wapewa mbegu za mahindi

May 30, 2024 Admin

Rufiji. Benki ya CRDB imekabidhi msaada wa mbegu za mahindi zenye thamani Sh50 milioni, kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea katika msimu wa masika Wilaya ya

Read More
Habari

WABUNIFU WA MUHAS WANUFAIKA NA ELIMU YA HAKI MILIKI

May 30, 2024 Admin

Mwanaisha Sendekwa akitoa elimu kuhusu Haki Miliki kwa wabunifu kutoka MUHAS wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayofanyika katika

Read More
Michezo

Mziba, Boban waichambua Ligi Kuu Bara

May 30, 2024 Admin

BAADA ya msimu wa Ligi Kuu Bara kumalizika Jumanne ya Mei 28, 2024, mastaa wa zamani na makocha wamechambua ubora na mambo ya kufayafanyia marekebisho

Read More
Habari

Bodi ya mfuko wa barabara yakusanya mapato asilimia 77.

May 30, 2024 Admin

Bodi ya Mfuko wa Barabara imekusanya mapato kwa asilimia 77 ya mapato yote ya bajeti ya mwaka 2023/24. Haya yamebainishwa bungeni na Waziri wa Ujenzi,

Read More
Habari

Wanawake jamii za wafugaji wanavyokabili mabadiliko ya tabianchi

May 30, 2024 Admin

Arusha/Manyara. Wanawake katika jamii za wafugaji, hususan Wamasai, hawahusishwi sana katika shughuli za uchumi za kujipatia kipato au kusaidia familia zao katika mahitaji ya kila

Read More
Habari

ATE YATAJA VIGEZO VIPYA TUZO YA MWAJIRI MPYA WA MWAKA 2024

May 30, 2024 Admin

Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), akizungumza na waandishi wa habari kutangaza kuzinduliwa kwa tuzo ya Mwajiri Bora wa mwaka 2024. Hafla ya

Read More
Habari

ANC yaelekea kupoteza wingi wa kura Afrika Kusini – DW – 30.05.2024

May 30, 2024 Admin

Matokeo ambayo yanaweza kuwa mabadiliko makubwa ya kisiasa tangu mwisho wa ubaguzi wa rangi. Kulingana na takwimu za tume ya uchaguzi, kufikia sasa asilimia 11.3

Read More
Habari

Wakazi wachekelea kukamilika mradi wa maji Songwe

May 30, 2024 Admin

Songwe. Baada ya shida ya miaka mingi, wakazi wa Kijiji cha Iseche wilayani Songwe wameanza kupumua baada ya mradi wa majisafi na salama uliokuwa ukijengwa

Read More
Habari

Wahouthi kuendelea kuwaunga mkono Wapalestina – DW – 30.05.2024

May 30, 2024 Admin

Kiongozi wa waasi wa Kihouthi kutoka Yemen ambao wanafadhiliwa na Iran Abdulmalik al-Houthi amesema hii leo kuwa wataendelea kwa kasi na ufanisi mkubwa harakati zao

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 16 17 18 … 279 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.