
EXIM Bank, Msalaba Mwekundu wapanda miti, wachangisha damu
BENKI ya Exim imeshirikiana na Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS) pamoja na Mpango wa Damu Salama Tanzania (NTBS) kupanda miti na kuendesha zoezi la uchangiaji damu katika maadhimisho ya Siku ya Msalaba Mwekundu Duniani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Maadhimisho hayo yaliyofanyika jijini Dodoma ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Dk. Dotto Biteko, Naibu…