Gamondi anusurika, waamuzi wafungiwa | Mwanaspoti

Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi amepishana na adhabu ya kifungo baada ya kupigwa faini ya Sh2 milioni kwa kosa la kufanya vurugu ikiwemo kuwashambulia kwa maneno makali waamuzi wa mchezo dhidi ya Kagera Sugar adhabu iliyotolewa na Kamati ya Uendeshwaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi. Adhabu hiyo itashusha presha kwa viongozi na…

Read More

Chungu na tamu ongezeko la maji Ziwa Victoria, Tanganyika

Mwanza/Muleba. Athari za ongezeko la maji Ziwa Victoria na Tanganyika zinazidi kuonekana kila kukicha. Hii ni baada ya wavuvi zaidi ya 100,000 mkoani Kigoma kudaiwa kuathirika na ongezeko hilo huku kaya 214 za Muleba Mkoa wa Kagera zikikosa vyoo. Pia gharama za kupakia na kushusha mizigo katika soko la kimataifa la samaki mwalo wa Kirumba jijini…

Read More

Tchakei aibeba Singida kwa Prisons Ligi Kuu

Bao la kichwa la dakika ya 50 lililofungwa na kiungo mshambuliaji Marouf Tchakei limetosha kuihakikishia Ihefu SC ushindi muhimu ugenini dhidi ya Tanzania Prisons kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Tchakei amefunga bao hilo akitumia krosi ndefu ya kiungo mwenzake, Duke Abuya  likiwa bao lake la kwanza tangu arejee akitokea katika majeruhi. Matokeo hayo ya…

Read More

THRDC yapaza sauti changamoto ya intaneti

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeitaka Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kufanya jitihada za kutafuta njia mbadala ya kurejesha mtandao (intaneti) katika hali yake ya kawaida, kwani kukosekana kwake ni ukiukwaji wa haki za binadamu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Wito huo umetolewa leo Jumatatu na Mratibu wa…

Read More

Huduma nyeti za intaneti zilivyosimama

Dar es Salaam. Licha ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kueleza jitihada zinafanyika ili intaneti irejee kama kawaida, jana na leo hali haikuwa shwari kwa utoaji huduma zinazotumia mtandao huo zikiwamo zile nyeti. Miongoni mwa huduma hizo ni malipo kwa njia ya simu, kutoa fedha benki, tiba mtandao na elimu mtandao. Taarifa ya TCRA iliyotolewa…

Read More