Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • Page 18
Habari

CCM yawaonya tena wanaojipitisha ubunge, udiwani

May 30, 2024 Admin

Singida. Joto la uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 limeendelea kufukuta ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), huku Dk Emmanuel Nchimbi

Read More
Habari

Kikosi cha Uholanzi – DW – 30.05.2024

May 30, 2024 Admin

Kocha Ronald Koeman amemjumuisha kiungo wa kati wa Barcelona Frenkie de Jong katika kikosi chake cha mwisho cha wachezaji 26 kwa ajili ya mashindano ya

Read More
Habari

Kilichokwamisha rufaa kupinga uteuzi wa CAG Kichere

May 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani imeshindwa kuendelea kusikiliza rufaa ya kupinga uteuzi wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere

Read More
Habari

Aliyembaka, kumuua mtoto wa miaka nane ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

May 30, 2024 Admin

Arusha. Mahakama Kuu ya Tanzania, Masijala ndogo ya Manyara iliyoketi Mbulu imemhukumu mkazi wa Kijiji cha Dumbeta, Paskali Qamara kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana

Read More
Habari

Atletico Madrid inamtaka kiungo wa kati wa Paris Saint-Germain.

May 30, 2024 Admin

Atletico Madrid wana nia ya kujiimarisha katikati mwa uwanja msimu huu wa joto, na wakati wanapendekezwa kufanya uhamisho wa kudumu kwa kiungo mkabaji, mkopo unaweza

Read More
Habari

Chongolo ampa tano Mulugo kwa kukacha posho za ubunge

May 30, 2024 Admin

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Daniel Chongolo amempongeza Mbunge wa Songwe, Phillipo Mulugo (CCM) kwa kukicha posho za vikao vya  Bunge la bajeti linaloendelea jijini

Read More
Habari

Majaliwa awaondoa hofu wamiliki wa hati za kimila

May 30, 2024 Admin

Dodoma. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaondoa hofu Watanzania waliomiliki hati za kimila akisema zipo kisheria kama  zinazotolewa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya

Read More
Habari

BODI YA MFUKO WA BARABARA YAKUSANYA MAPATO KWA ASILIMIA 77

May 30, 2024 Admin

Bodi ya Mfuko wa Barabara imekusanya mapato kwa asilimia 77 ya mapato yote ya bajeti ya mwaka 2023/24. Haya yamebainishwa bungeni na Waziri wa Ujenzi,

Read More
Habari

TADB yashiriki maonesho Wiki ya Unywaji Maziwa Kitaifa Mwanza

May 30, 2024 Admin

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) inashiriki maonesho ya 27 ya Wiki ya Unywaji maziwa Kitaifa jijni Mwanza huku ikiwataka wafugaji kutembelea banda la

Read More
Habari

Adaiwa kumuua mwanaye bila kukusudia

May 30, 2024 Admin

Geita.  Mkazi wa Kijiji cha Chigunga wilayani Geita, Stefano Mlenda(31)  amefikishwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Geita  akishtakiwa kwa kosa la kumuua bila kukusudia  mtoto

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 17 18 19 … 279 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.