CCM yawaonya tena wanaojipitisha ubunge, udiwani

Singida. Joto la uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 limeendelea kufukuta ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), huku Dk Emmanuel Nchimbi akiwaonya wanaopanga safu za wagombea au kujipitisha kuacha mchezo huo. Dk Nchimbi, ambaye ni Katibu Mkuu wa CCM amesema hatua hiyo inawanyima usingizi viongozi waliopo kwenye dhamana kutekeleza wajibu wao….

Read More

Kikosi cha Uholanzi – DW – 30.05.2024

Kocha Ronald Koeman amemjumuisha kiungo wa kati wa Barcelona Frenkie de Jong katika kikosi chake cha mwisho cha wachezaji 26 kwa ajili ya mashindano ya Euro 2024 licha ya kwamba bado anauguza jeraha la kifundo cha mguu. Koeman hata hivyo amemuacha nje beki wa kushoto Ian Maatsen, ambaye amekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya…

Read More

Kilichokwamisha rufaa kupinga uteuzi wa CAG Kichere

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani imeshindwa kuendelea kusikiliza rufaa ya kupinga uteuzi wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere kutokana na kukosekana kumbukumbu za rufaa. Rufaa hiyo ilikatwa na aliyekuwa Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe akipinga sehemu ya hukumu ya Mahakama Kuu iliyokataa maombi na hoja zake za kubatilisha…

Read More

Chongolo ampa tano Mulugo kwa kukacha posho za ubunge

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Daniel Chongolo amempongeza Mbunge wa Songwe, Phillipo Mulugo (CCM) kwa kukicha posho za vikao vya  Bunge la bajeti linaloendelea jijini Dodoma na kuunga naye katika ziara ya siku tatu ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe… (endelea). Hayo yamejiri wakati Chongolo aliyetua mkoani humo hivi karibuni,…

Read More

Majaliwa awaondoa hofu wamiliki wa hati za kimila

Dodoma. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaondoa hofu Watanzania waliomiliki hati za kimila akisema zipo kisheria kama  zinazotolewa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.  Majaliwa ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Mei 30, 2024 wakati wa maswali ya hapo kwa papo alipokuwa akijibu swali la mbunge wa Busekelo, Atupele Mwakibete. Mbunge huyo amesema hati…

Read More

BODI YA MFUKO WA BARABARA YAKUSANYA MAPATO KWA ASILIMIA 77

Bodi ya Mfuko wa Barabara imekusanya mapato kwa asilimia 77 ya mapato yote ya bajeti ya mwaka 2023/24. Haya yamebainishwa bungeni na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25. Amesema katika mwaka wa fedha 2023/24, Bodi ilipanga kukusanya Shilingi bilioni 856.795 na kati ya fedha hizo,…

Read More

Adaiwa kumuua mwanaye bila kukusudia

Geita.  Mkazi wa Kijiji cha Chigunga wilayani Geita, Stefano Mlenda(31)  amefikishwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Geita  akishtakiwa kwa kosa la kumuua bila kukusudia  mtoto Fredrick Stephano (7) baada ya kuiba Sh700 na kwenda kununua soda. Kesi hiyo namba 12387 ya mwaka 2024 ilikuja mahakamani hapo kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa maelezo ya awali. Akisoma…

Read More