Wydad yamganda Lakred, ishu nzima ipo hivi

TIMU ya Wydad Casablanca imeonyesha nia ya kumsajili kipa wa Simba, Ayoub Lakred kwa ajili ya msimu ujao. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zimeliambia Mwanaspoti kwamba nyota huyo raia wa Morocco anataka kuondoka msimu ukiisha baada ya mkataba wake wa mwaka mmoja kumalizika jambo linalowatia wasiwasi mabosi wa Simba wanaomtaka abaki. Lakred aliyejiunga na…

Read More

Jinsi Maisha yalivyo mchana, usiku Stendi ya Magufuli

Dar es Salaam. Ukiweka kando usafiri unaounganisha maeneo ya ndani na nje ya nchi, Stendi ya Magufuli ni sehemu ambayo wasafiri na wakazi wengine wa Jiji la Dar es Salaam wanaweza kununua bidhaa za mahitaji mbalimbali.  Stendi hiyo iliyogharimu Sh50.9 bilioni, iliyopo Mbezi Luis, Wilaya ya Ubungo, ilizinduliwa Februari 22, 2021 na hayati Rais John…

Read More

Dk. Ndumbaro atuma ujumbe  mzito TEFA ikizindua ofisi

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro, amekitaka Chama Cha Soka Wilaya ya Temeke(TEFA), kulinda na kuendeleza  heshima ya kimpira  wilayani humo kwa kuepuka migogoro. Dk. Ndumbaro alipiga simu wakati  hafla ya uzinduzi wa ofisi za chama hicho uliofanyika  leo Mei 10, 2024 kwenye Uwanja wa TEFA, Tandika,…

Read More

ZFDA yapiga marufuku maziwa ya Infacare kuuzwa Zanzibar

Unguja. Wakala wa Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar (ZFDA) imepiga marufuku uingizwaji, uuzwaji na usambazaji wa maziwa ya kopo aina ya Infacare kutokana na kuwepo maandishi kwenye bidhaa, yanayokataza kuuzwa nchini hiyo.  Kaimu Mkurugenzi Idara ya Udhibiti Usalama wa Chakula, Khadija Ali Sheha amesema hayo jana kwamba hatua hiyo inalenga kulinda afya za watoto na…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR AZUNGUMZA NA UJUMBE WA KANISA LA ANGLIKANA UKIONGOZWA NA ASKOFU MKUU MHASHAMU JUSTIN WELBY

MAASKOFU wa Kanisa la Anglikana wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 11-5-2024, wakiwa Zanzibar kwa ajili ya Ibada ya Maridhiano kutokana na madhila waliyofanyiwa Waafrika wakati wa Biashara ya Utumwa inayotarajiwa kufanyika kesho 12-5-2024…

Read More

Ouma anavyoibeba Coastal Union Ligi Kuu

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, David Ouma amefanikiwa zaidi kutengeneza timu kimbinu na kiufundi, akijitahidi kumfanya kila mchezaji kuwa bora katika nafasi yake. Kocha huyo ambaye alianza kuifundisha Coastal Union, Novemba 9, mwaka jana akichukua mikoba ya Mwinyi Zahera ambaye alishindwa kuendana na kasi ya timu hiyo tayari ameanza kuandika rekodi zake ndani ya kikosi…

Read More

Askari Kinapa, mgambo matatani wakituhumiwa kwa mauaji

Moshi. Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linawashikilia askari wawili wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (Kinapa) na mgambo kwa tuhuma za kumuua kwa risasi kijana Octovania Temba. Temba ni mkazi wa Kijiji cha Komela kilichopo Kata ya Marangu Magharibi, wilayani Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro. Wakazi wa Kijiji cha Komela kilichopo Kata ya Marangu Magharibi, wilayani…

Read More

Dabo anazitaka 12 Azam FC

MATARAJIO ya Azam FC kwa sasa ni kukusanya pointi 12 katika mechi nne zilizosalia za Ligi Kuu Bara huku ikiiombea Simba iteleze kidogo tu ili wao wasiikose nafasi ya pili itakayowafanya washiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao. Hesabu hizo za Azam zinaonekana kuwa ngumu kidogo lakini wenyewe wana matumaini hayo licha ya…

Read More

Trafiki kuvishwa majaketi yenye kamera kudhibiti rushwa

Dodoma. Serikali imesema iko kwenye mchakato wa kutumia majeketi yenye kamera watakayovaa askari wa usalama barabarani ‘trafiki’ kama sehemu ya kifaa cha kazi kwa lengo la kudhibiti rushwa barabarani. Hayo yamesema leo Jumamosi Mei 5, 2024 na Makamu wa Rais Dk Philip Mpango wakati akifungua Kituo cha Polisi Daraja A Wilaya ya Kipolisi Mtumba jijini…

Read More