Vita nane mpya ligi kuu

NDANI ya Ligi Kuu Bara achana na nani anataka kuwa bingwa, kuna vita fulani zinachukua nafasi taratibu nje na kuwania taji la ubingwa. Zitazame vita nane ambazo zinapatikana kivyake kwenye msimu huu wa ligi hiyo ukiwa unaelekea ukingoni ambazo zimekuwa zikizalisha ushindani mwingine. Simba kamchapa Azam juzi kwa mabao 3-0 ukiwa ni mchezo ambao ulikuwa…

Read More

Hatima ya Zuma kuwania urais Afrika Kusini yasubiri Mahakama

Afrika Kusini/ AFP. Mahakama ya Juu nchini Afrika Kusini imeanza kusikiliza rufaa kuhusu iwapo Rais wa zamani, Jacob Zuma atastahili kugombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu ujao. Zuma (82) anaongoza chama kipya cha upinzani, Umkhonto we Sizwe (MK), ambacho wachambuzi wanasema kinaweza kuwa na athari kubwa kwenye matokeo ya uchaguzi mkuu wa Mei 29,…

Read More

Palestina mwanachama wa 194 wa UN

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jana Ijumaa limepitisha kwa wingi kura za azimio linalounga mkono Palestina kuwa mwanachama kamili wa umoja huo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Azimio hilo limeitambua Palestina kuwa na hadhi ya kupata uanachama kamili na linatoa mwito kwa Baraza la  Usalama la Umoja wa Mataifa kuunga mkono azma ya Palestina…

Read More

WAZIRI MKUU ASHIRIKI MBIO ZA MBEYA TULIA MARATHON 2024

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 11, 2024 ameshiriki katika tukio la mbio za Mbeya Tulia Marathoni 2024 zilizoandaliwa na Taasisi Isiyo ya Kiserikali ya Tulia Trust. Mbio hizo zilianzia na kuishia kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya Mei 11, 2024. Baadhi ya viongozi walioshiriki mbio hizo ni Mke wa Waziri Mkuu Mary Majaliwa, Spika…

Read More

UDOM KIDEDEA MASHINDANO YA TEHAMA YA HUAWEI TANZANIA.

Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Chen Mingjian, akikabishi zawadi kwa mshindi wa Kike wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Bi. Pulcheria Sumia. Kushoto ni mshindi mwingine wa Kike kutoka Taasisi ya Technolojia Dar Es Salaam (DIT), Bi. Jokha Amin. ……………. Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeshinda Mashindano ya Kitaifa ya TEHAMA ya HUAWEI Tanzania kwa…

Read More

WAFANYABIASHARA, JAMII INAYOJIHUSISHA NA SEKTA YA MADINI WATAKIWA KUHAKIKISHA WANATUMIA VIFAA VYENYE UBORA

Na Mwandishi wetu Wafanyabiashara wa madini pamoja na jamii inayojihusha na sekta ya madini wametakiwa kuhakikisha wanatumia vifaa vyenye ubora katika uchakataji wa madini ili kuongeza ubora kwa ustawi wa shughuli za madini na kuendana na kasi ya maendeleo ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Nesch…

Read More