MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI

Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji wa mawasiliano katika maeneo yote yaliyokuwa yamekatika. Mvua kubwa zilizoambata na Kimbunga Hidaya ziliharibu miundombinu ya barabara hiyo katika eneo la Mikereng’ende, Songas, Somanga na Matandu-Nangurukuru ambayo yalikatika kutokana na mvua zilizonyesha na kuambatana na Kimbunga Hidaya. Juzi tarehe 9…

Read More

Yanga yashtukia mtego, Gamondi aita kikao na mastaa

MASHABIKI wameshaanza kushona jezi za Ubingwa wa Yanga msimu huu, lakini Kocha Miguel Gamondi ameshtukia mechi mbili zinazofuata zina mtego mkubwa kwao na akawaweka chini wachezaji wake. Gamondi ameliambia Mwanaspoti amewasisitiza wachezaji wake wasijisahau kwani wanakwenda kucheza na timu ambazo zimechukua tahadhari kubwa kuliko kawaida na zina malengo mengi. Kocha huyo amesisitiza anaamini kila mchezaji…

Read More

Staa Asec aomba kusepa, atajwa kutua Simba

KIUNGO mshambuliaji wa Asec Mimosas, Serge Pokou ameomba rasmi kuondoka klabuni hapo huku akihusishwa na Simba inayoelezwa inampigia hesabu kali. Fundi huyo wa mguu wa kushoto ambaye aliwahi kuifunga Simba hapa nchini wakati timu hizo zilipokutana Ligi ya Mabingwa alisema ingawa ana ofa nyingi lakini amevutiwa na ofa ya Tanzania. “Nina ofa nyingi ikiwemo moja…

Read More

Dreamliner ATCL yafumuliwa injini Malaysia

Dar es Salaam. Ndege ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL), Boeing Dreamliner ipo kwenye matengenezo makubwa ya lazima katika mji wa Kuala Lumpur, nchini Malaysia, Mwananchi limebaini. ATCL imekiri kuwa ndege hiyo yenye namba za usajili 5H-TCJ ipo kwenye matengenezo hayo tangu Novemba 2023 na inatarajiwa kukamilika Juni, 2024. Hii ni ndege ya pili…

Read More

RC MALIMA, MOROGORO KUWA KITOVU CHA UTALII

Mkuu wa Mkoa Morogoro Adam Malima amewataka wanahabari kuwa mabalozi wa utalii, kuandika taarifa zinazowavutia watalii kutoka nje na ndani ya nchi. RC Malima ameyasema hayo wakati akifungua Mafunzo kwa wanahabari yaliyoandaliwa na Chama Cha Waandishi wa habari Tanzania (TAMPA) kwa kushirikiana na TANAPA ambapo amesema Mkoa wa Morogoro unahifadhi Tatu Kubwa ambazo ni Mikumi,Udzungwa…

Read More

Bulaya alipua bomu wadaiwa sugu wa maji, vinara hadharani

Dodoma. Wakati Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson akisema suala la ufinyu wa bajeti ya Wizara ya Maji litajadiliwa kati ya Kamati ya Bajeti na Serikali, mbunge wa viti maalumu, Ester Bulaya amesema taasisi za umma zinadaiwa ankara za maji za Sh26 bilioni. Katika mchango wake bungeni, Bulaya alieleza taasisi za majeshi ndizo zinazodaiwa madeni…

Read More