Uswiss na Msalaba Mwekundu wafanya maonyesho ya utu

Dar es Salaam. Ubalozi wa Uswisi nchini, kwa kushirikiana na Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) na Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS), wamezindua maonyesho ya ‘Dialogues On Humanity’ ya kuadhimisha miaka 75 ya mikataba ya Geneva ya mwaka 1949. Katika maonyesho hayo pia itaadhimishwa Siku ya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu duniani. ‘Dialogues…

Read More

CITY BULLS, JKT PAMOTO DAR KESHO

UWANJA wa kikapu wa DB Osterbay unatarajiwa kuwaka moto wakati timu kongwe za kikapu nchini, JKT na Vijana (City Bulls) zitakapochuana kesho katika mchezo wa Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Mchezo huo unasubiriwa kwa hamu na wapenzi wa kikapu mkoani humo kutokana na upinzani mkubwa zilio nao timu hizo.  Timu…

Read More

Mpina afyatuka bungeni, adai mawaziri wanampikia majungu

Dodoma. Mbunge wa Kisesa mkoani Mwanza, Luhaga Mpina amewatuhumu mawaziri kuwa wanampikia majungu kwa kuwa wameshindwa kujibu maswali ama hoja anazozitoa bungeni. Mpina, ambaye amekuwa na kawaida ya kuzungumza bungeni na kuwachachafya mawaziri, amesema watendaji hao wa Serikali wameshindwa kujibu hoja zake na badala yake wamekuwa wakidai ana jambo lake. Mpina ameyasema hayo leo Ijumaa,…

Read More

Thiago Silva kama kawa amemalizia hisani nyumbani

YUKO wapi yule aliyesema hisani inaanzia nyumbani? Wazungu huwa wanaandika kwa Kiingereza chao kizuri ‘charity begins at home’. Ni kweli. Lakini Wabrazil nao wangeweza kuendeleza sentensi hiyo na kuandika ‘hisani pia inaishia nyumbani’. Wiki ile nyingine nilimuona Mbrazili Thiago akilia katika viunga vya uwanja wa mazoezi wa Chelsea, Cobham. Labda ana hisia kali na Chelsea…

Read More

Sababu sita Mgunda apewe timu, wakongwe wafunguka

FURAHA imerejea Simba. Mabadiliko yaliyofanywa kwenye benchi la ufundi na kumrejesha Juma Mgunda yameanza kulipa. Ametumia mechi nne tu kubadilisha mambo ndani ya klabu na sasa imefikia hatua wakongwe wamesema apewe timu. Si hao tu, hata mashabiki baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Azam juzi na kufufua matumaini ya kushiriki Ligi ya Mabingwa…

Read More

Stand United, Copco tiketi iko Kambarage

 Mwanza. BAADA ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Stand United, Copco imesema inaenda kumaliza dakika 90 za marudiano ikihitaji sare au ushindi ili kujihakikishia kubaki salama kwenye Championship msimu ujao. Timu hiyo ikicheza nyumbani kwenye uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza iliishindilia Stand United mabao 2-0 katika mchezo wa mchujo (play off) hatua ya kwanza na…

Read More

Tuendelee kuiombea nchi na viongozi wake-DK.Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaomba Waumini wa Dini ya Kiislamu kuendelea kuwaombea Dua Viongozi ili watimize majukumu yao na kutekeleza ahadi walizoahidi. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo alipojumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika sala ya Ijumaa Msikiti wa Qubaa Mbweni Mkoa wa Mjini Magharibi tarehe…

Read More

Vijana Kagera wamshauri Mwenyekiti UVCCM kuomba radhi

Faris katikati akiwa na wenzake kwenye moja ya kazi za chama Ni kwa kauli yake ya kupoteza wanaotukana mitandaoni Na Mwandishi Wetu, Kagera VIJANA wa Chama cha Mapinduzi  Mkoa wa Kagera wamemtaka Mwenyekiti wa UVCCM, Mkoa huo Faris Buruhan kuomba radhi au kujiuzulu kwenye nafasi yake kwa matamshi yake ya hivi karibuni kutaka kuwapoteza watu…

Read More