Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • Page 19
Habari

NAIBU WAZIRI AZITAKA TAASISI ZA UMMA KUZINGATIA SHERIA, KUTUMIA NeST

May 30, 2024 Admin

Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Chande, amewataka maafisa ununuzi wa taasisi za Serikali kuhakikisha wanatumia Mfumo wa Usimamizi wa Ununuzi wa Umma Kielektroniki (NeST) pekee

Read More
Habari

NBC Dodoma Marathon msimu wa tano kufanyika Julai 28

May 30, 2024 Admin

Benki ya NBC imezindua rasmi msimu wa tano wa mbio zake zinazofahamika kama NBC Dodoma Marathon msimu wa nne  zinazotarajiwa kufanyika tarehe 28 Julai mwaka

Read More
Habari

DC Malisa aagiza uchunguzi wa shule kudaiwa kupika chakula chenye wadudu

May 30, 2024 Admin

Mbeya. Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Beno Malisa ameagiza kuanza uchunguzi wa malalamiko ya wazazi wakidai wanafunzi wa Shule ya Sekondari Isyesye wanalishwa chakula chenye

Read More
Habari

MUHULA WA KWANZA KIDATO CHA TANO KUANZA JULAI 1

May 30, 2024 Admin

Na Gideon Gregory, Dodoma. Ofisi ya Rais – TAMISEMI kwa kushirikiana na taasisi nyingine za Serikali ikiwemo Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imekamilisha zoezi

Read More
Habari

NMB yawatangazia fursa vijana wenye bunifu mbalimbali

May 30, 2024 Admin

BENKI ya NMB imeshiriki kwenye maadhimisho ya elimu, ujuzi na ubunifu yanayoendelea kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Popatlaly huku ikitoa fursa kwa vijana wenye

Read More
Habari

Wabunge wataka bajeti Wizara ya Ujenzi ipitiwe upya

May 30, 2024 Admin

Dodoma. Wabunge wameitaka Kamati ya Bunge ya Bajeti kufanya mapitio upya ya bajeti ya Wizara ya Ujenzi ili kuongeza fedha kwa wizara hiyo. Waziri wa

Read More
Habari

TWCC yawataka wanawake kujitokeza uchaguzi serikali za Mitaa

May 30, 2024 Admin

Na Deogratius Temba; Chamwino WANAWAKE wametakiwa kujiimarisha kiuchumi kwa kuwekeza kwenye miradi mikubwa na kushiriki kwenye nafasi za uongozi na maamuzi katika ngazi mbalimbali ili

Read More
Michezo

Mrithi wa Dube apatikana Azam FC

May 30, 2024 Admin

AZAM FC imepania. Siku chache baada ya kumtambulisha kiungo, Ever Meza, klabu hiyo imekamilisha dili jingine la kumsajili mshambuliaji mpya, Jhonier Blanco kutoka klabu ya

Read More
Habari

WATOA HUDUMA ZA FEDHA WAONYWA UVUNJAJI SHERIA

May 30, 2024 Admin

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Bi. Queen Sendiga, akipokea nyenzo za kufundishia   elimu ya fedha na majarida mbalimbali ikiwemo jarida lenye elimu ya uwekezaji kutoka

Read More
Habari

PSG wanaonekana kutaka kumsajili Ibrahima Konate wa Liverpool.

May 30, 2024 Admin

Wakati Ibrahima Konaté (25) ana furaha katika Liverpool FC, hata licha ya kuondoka kwa Jürgen Klopp, Mfaransa huyo amebakiza miaka miwili tu kwenye mkataba wake.

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 18 19 20 … 279 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.