
‘Acheni dhana potofu kuhusu tohara’
Musoma. Wakazi wa Mkoa wa Mara wametakiwa kuachana na dhana kuwa mtoto wa kiume akifanyiwa tohara katika umri mdogo uume wake utakuwa mdogo, badala yake wafanye tohara mapema ili kujiepusha na magonjwa vikiwamo Virusi vya Ukimwi (VVU). Wito huo umetolewa mjini hapa leo Ijumaa Mei 10, 2024 na Mratibu wa Upimaji wa VVU na Huduma…