‘Mageuzi makubwa sekta ya ardhi yanakuja’ Waziri Silaa

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amesema Mageuzi makubwa Sekta ya ardhi yanakuja baada ya kushuhudia utiaji saini kati ya Wizara yake na Mtaalamu Mshauri wa Mradi Mkubwa wa Kuimarisha na Kuboresha Miundombinu ya Upimaji na Ramani (LDI) wenye thamani takribani Bil. 150 za kitanzania. Waziri Silaa amebainisha kuwa Mradi huo…

Read More

Samia: Mradi Liganga, Mchuchuma uanze

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Viwanda na Biashara na ya Mipango na Uwekezaji kukamilisha mchakato wa kuipata kampuni itakayowezesha kuanza kwa mradi wa Liganga na Mchuchuma. Kuanza kwa mradi huo uliopo wilaya ya Ludewa mkoani Njombe haraka kunalenga kuwezesha upatikanaji wa malighafi kwa ajili ya kiwanda cha kuunganisha magari makubwa…

Read More

Simba yakomaa na Kibu | Mwanaspoti

KWA hali ilivyo kuna uwezekano Kibu Denis akasalia Simba msimu ujao baada ya viongozi kufanikiwa kumshawishi yeye na wakala wake kwa asilimia kubwa. Mwanaspoti ndilo lilikuwa la kwanza kukupa taarifa zote kuhusu Kibu kuanzia mazungumzo ya mkataba mpya ndani ya Simba baada ya ule wa awali kuwa mbioni kumalizika mwishoni mwa msimu huu. Dili la…

Read More

Rais Samia azindua Kiwanda cha kuunganisha Malori na Matipa cha Saturn Corporation Limited Kigamboni Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji (kushoto) pamoja na Mwenyekiti wa Kiwanda cha Kuunganisha Malori na Matipa cha Saturn Corporation Limited Bw. Chetan Chug wakati akikata utepe kuzindua Kiwanda hicho kilichopo Kigamboni Jijini Dar es Salaam tarehe 09 Mei, 2024….

Read More

Job afichua ishu Yanga | Mwanaspoti

Beki wa Yanga, Dickson Job amesema wamekuwa wakionyesha hali ya kupambana zaidi pindi wanapokutana na timu inayozuia muda mwingi tofauti na wale wanaofunguka. Nyota huyo ametoa kauli hiyo baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi na kuiweka Yanga katika nafasi nzuri zaidi ya kutetea ubingwa…

Read More

Alhamisi ya TBT: Picha 15 za kitambo za Big Joe akiwa na mastaa wakubwa!!

Leo ni Alhamisi Mei 9,2024 na tunajua kwenye Ulimwengu wa leo siku hii imepewa cheo cha TBT yaani siku ya kukumbuka matukio ya zamani ambapo millardayo.com inakukumbusha au kukuonyesha picha alizowahi kupiga Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Clouds Media Group, Joseph Kusaga Big Joe akiwa na mastaa mbalimbali wakubwa aliowahi kukutana nao hususani kukuza sekta ya Burudani nchini….

Read More