Hizi hapa athari za saa 36 za kimbunga Hidaya

Dodoma. Mvua zilizonyesha kwa takribani saa 36 zikiambatana na upepo mkali kutokana na kimbunga Hidaya zimesababisha vifo vya watu 10 na majeruhi saba, huku kaya 7,027 zenye watu 18,862 zikiathiriwa. Mbali ya hayo, nyumba 2,098 zimeathirika kati ya hizo, 678 zimebomoka kabisa, 877 zimeharibika kiasi, na 543 zimezingirwa na maji. Hayo yameelezwa na Waziri Mkuu,…

Read More

Rekodi tatu Yanga ikiukaribia ubingwa

USHINDI wa bao 1-0 ambao Yanga iliupata juzi Jumatano dhidi ya Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi, ulikifanya kikosi hicho cha Miguel Gamondi kuweka rekodi tatu tofauti huku wakiendelea kuunyemelea ubingwa wa 30 wa Ligi Kuu Bara. Rekodi ya kwanza ambayo Yanga imeweka kutokana na bao la Mudathiri Yahya dakika ya 83 katika…

Read More

Bunge lamkaba koo Mo Dewji kwa kutelekeza viwanda vya chai

SERIKALI inakusudia kumuweka kikaangoni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mohammed Enterprises Limited (MeTL), Mohammed Dewji, kumhoji iwapo ameshindwa kuendesha kiwanda na mashamba ya chai, yaliyoko wilayani Korogwe, Mkoa wa Tanga, ili yachukuliwe kwa ajili ya kumpatia mwekezaji mwingine. Pia anadaiwa kushindwa kuyaendeleza mashamba na mitambo ya viwanda vya chai huko Rungwe mkoani hali inayosababisha  wakulima kukosa…

Read More

Wanawake Kipunguni njia nyeupe uchaguzi 2024/25

Na Nora Damian, Mtanzania Digital “Wanawake tunapewa mbinu nyingi za kushiriki katika uchaguzi, tunapambana vya kutosha lakini tunarudishwa nyuma. Kuna vikwazo vingi tunaomba Serikali itende haki bila kujali mtu anatoka chama gani,” anasema mkazi wa Dar es Salaam, Rehema Mfaume. Rehema ambaye aliwahi kuwa Mjumbe wa Serikali ya Mtaa mwaka 2014 ni mfano wa wanawake…

Read More