BEI YA ZAO LA PAMBA 2024/2025 YATANGAZWA RASMI

  Na Mwandishi wetu – Malunde 1 blog Wizara ya kilimo kupitia bodi ya pamba nchini imetangaza bei elekeziya ununuzi wa zao la pamba katika msimu wa mwaka 2024/2025 ambayo ni Sh 1,150/=kwa kilo 1 ya pamba. Sherehe hizo zilizoambatana na uzinduzi wa ununuzi wa zao la  pamba kitaifa 2024/2025  zimefanyika leo katika Kijiji cha…

Read More

Dar inavyozizidi nchi zaidi ya 10 kwa utajiri Afrika

Pengine ni vigumu kuamini, lakini ndio ukweli wenyewe. Kama Dar es Salaam ingekuwa ni nchi ingekuwa na uchumi mkubwa kuliko mataifa mengi ya Afrika, hata Ulaya pia. Kwa mujibu wa ripoti ya ufanisi wa kikanda inayotolewa na Benki Kuu ya Tanzania kila baada ya miezi mitatu, pato la Dar es Salaam hadi Desemba 2022 lilikuwa…

Read More

Chukwu amtaja Aziz KI, afunguka dili la Yanga

MORICE Chukwu ni majina ambayo yalitikisa wakati wa dirisha dogo la usajili akihusishwa na timu mbalimbali nchini ikiwemo Yanga lakini baadae akaibukia Singida Big Stars na sasa Ihefu. Kiungo huyo aliwavutia mabosi mbalimbali wa klabu nchini baada ya kuonyesha kiwango bora alipokuja na timu yake ya zamani Rivers United kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho…

Read More

Wadau wataja mbinu kukabili mafuriko, uharibifu miundombinu

Dar es Salaam. Wakati mvua zinazonyesha maeneo mbalimbali nchini zikiendelea kuleta athari za kiuchumi na kukwamisha baadhi ya shughuli hasa usafirishaji, wadau wameshauri mbinu zinazoweza kutumika kukabili athari zake. Pia, wameitaka Serikali ya Tanzania kuwa na utaratibu wa kufanya tathimini ya miundombinu kabla ya masika ili kuweza kupunguza athari zinazoweza kutokea. Wametoa maoni hayo leo…

Read More