Mwendokasi Kigogo – Segerea kujengwa awamu ya 5

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Festo Dugange amesema ujenzi wa barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka ya Kigogo – Tabata Dampo hadi Segerea ni miongoni mwa barabara ambazo zimepangwa kujengwa  katika awamu ya tano ya ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Dugange ametoa kauli hiyo leo…

Read More

UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Kibu Denis ni mbadala wa Lomalisa?

Huenda Kibu Dennis ndiye mchezaji Bora msimu huu mzawa wa Simba na ambaye akikosekana, watu wanashika kichwa. Kibu ni aina ya wachezaji ambao kumwelekezea mtu, inahitaji muda wa kutosha. Mchezaji yoyote asiyekupa namba, inahitaji ujuzi kweli wa mambo kumwelezea. Kibu ana karibu kila kitu kinachohitajika kwa mchezaji, lakini hakupi namba. Hakuna mabao wala pasi za…

Read More

WAHITIMU JKT WATAKIWA KUJIEPUSHA NA VIKUNDI VYA KIHALIFU

    MKUU wa wilaya ya Kakonko Kanali Evance Mallasa,akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kufunga mafunzo ya awali ya kijeshi kwa vijana wa Kujitolea ‘Operesheni ya Miaka 60 ya JKT’, katika kikosi cha Jeshi cha 824 KJ Kanembwa wilayani Kakonko Mkoani Kigoma. MKUU wa wilaya ya Kakonko Kanali Evance Mallasa,akishuhudia kiapo cha utii cha…

Read More

DC Jamila aagiza maofisa wanne TRA Mpanda wachunguzwe

Mpanda. Mkuu  wa Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi, Jamila Yusuf ameiagiza Taasisi  ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuwachunguza maofisa wanne wa Mamlaka ya Mapato Tanzania ( TRA) wilayani humo kwa tuhuma za rushwa. Hata hivyo,  Meneja wa TRA, Mkoa wa Katavi, Nicholas Migere amesema hawezi kuzungumzia chochote kuhusu madai hayo kwa sababu…

Read More

BIL 1.1 ZA TANROADS ZAREJESHA MAWASILIANO YA BARABARA NA MADARAJA YALIYOSOMBWA NA MVUA ZA EL-NINO – KATAVI

Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania  (TANROADS) Mkoani Katavi imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kufanya kazi ya matengenezo na kurejesha miundombinu ya barabara na madaraja yaliyosombwa na maji ya mafuriko ya mvua kubwa za El-nino zilizonyesha kwa wingi mkoani humo tarehe 14 na 15 Aprili 2024. Meneja wa TANROADS Mkoa wa Katavi Martin A. Mwakabende amesema…

Read More

Mwanafunzi apotea, mwili wakutwa kwenye shimo la choo

Kibaha. Mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Carisa, Angel John aliyepotea kwa siku moja amekutwa amekufa mwili ukiwa ndani ya shimo la choo. Shule hiyo ipo katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani. Angel (8), aliyekuwa akiishi Mwendapole, Kibaha alipotea Mei 6, 2024 baada ya kuondoka nyumbani kwao akimfuata dada yake…

Read More

TANROADS RUVUMA YAPOKEA SHILINGI BILIONI 2.5 KUFANYA MATENGENEZO YA BARABARA ZILIZOHARIBIKA NA MVUA ZA MASIKA

Na Mwandishi wetu,Tunduru WAKALA wa barabara (TANROADS)Mkoa wa Ruvuma,umepokea Sh.bilioni 2.5 kati ya Sh.bilioni 6 ilizoomba ili kurejesha miundombinu ya barabara zilizoharibiwa na mvua za masika katika maeneo mbalimbali ya mkoa huo. Hayo yamesemwa jana na Meneja wa TANROADS Mkoa wa Ruvuma Saleh Juma,baada ya kukagua kazi ya urejeshaji wa miundombinu ya daraja la Mto…

Read More

DKT. NCHEMBA AKUTANA NA MKURUGENZI MTENDAJI BENKI YA NCBA

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (kushoto) akizungumza jambo wakati wa mkutano na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NCBA Tanzania Bw. Claver Serumaga, ulioangazia ushirikiano wa maendeleo, katika Ofisi ya Waziri wa Fedha Treasure Square, jijini Dodoma. Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (kulia) akieleza umuhimu wa ushirikiano katika…

Read More

Katibu mkuu Maganga aipongeza WCF kwa utendaji kazi kwa kufuata viwango vya kimataifa.

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mary Maganga, ameupongeza Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) kwa utoaji huduma unaofuata viwango vya Kimataifa katika kushughulikia masuala ya fidia kwa wafanyakazi. Katibu Mkuu Maganga amesema huduma wanazotoa WCF tayari zimekidhi vigezo vya Shirika la Kimataifa la Viwango ikiwa ni, menejimenti ya…

Read More

Waathirika wa mafuriko Ifakara warejea kwenye makazi yao

Ifakara. Waathirika 160 kati ya 400 wa mafuriko waliowekwa kwenye kambi ya Shule ya Msingi Ifakara wilayani Kilombero Mkoa wa Morogoro, wamerejea kwenye makazi yao huku wakiendelea kufanya ukarabati wakati Serikali ikikagua hali ya usalama wa nyumba hizo. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatano Mei 8, 2024, Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Danstan Kyobya amesema…

Read More