Katibu mkuu akemea uzinzi mahala pa kazi

Arusha. Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhandisi Zena Said ameonya mameneja rasilimali watu wa kada ya utumishi wa umma kujiepusha na vitendo vya ngono mahala pa kazi. Amesema hali hiyo husababisha upendeleo, migogoro na vurugu na mwisho wa siku morali ya kazi kwa watumishi hushuka.  Zena ameyasema hayo leo Jumanne Mei 7,…

Read More

Wanafunzi waweka wazi sababu za utoro kukithiri Geita

Geita. Wakati changamoto ya utoro ikitajwa kuchangia kurudisha nyuma jitihada za kuinua kiwango cha elimu mkoani Geita, wanafunzi wamezitaja sababu zinazochangia kukithiri kwa hali hiyo. Miongoni mwa sababu hizo ni shughuli za kiuchumi hasa uchimbaji kwa ajili ya kujipatia kipato, adhabu ya viboko na kukatishwa tamaa kutokana na changamoto ya ukosefu wa ajira. Wanafunzi hao…

Read More

Dkt Yonazi awashukuru Jukwaa la Viongozi Tanzania kwa msaada wa 13.7m/- kwa waathirika Hanang

Na Mwandishi Wetu,Dodoma. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amepokea msaada wa 13.7m/- kutoka kwa wanachama wa kundi sogozi(WhatsApp) liitwalo Viongozi Tanzania. Akipokea msaada huo katika hafla hiyo iliyofanyika jana ofisini kwake Mei 6,2024,mjini Dodoma ,Dkt Yonazi amewashukuru wanachama wa kundi hilo kwa kujitoa kwao…

Read More

Simba yamvutia waya Ibenge, bosi wa Nabi nae yumo

JINA la kocha wa Al Hilal, Florent Ibenge (62) linatajwa kupewa kipaumbele cha kwanza na mabosi wa Simba kumrithi Abdelhak Benchikha aliyeondoka mwishoni mwa mwezi uliopita lakini wakati wakiendelea kujifikiria zaidi, bosi wa zamani wa Kocha Nasreddine Nabi naye amewasilisha maombi mezani akiomba kupewa kibarua cha kuinoa timu hiyo. Uongozi wa Simba ulikuwa na hamu…

Read More

Mashimo ya viraka barabarani yawatesa madeva

Dar/Mikoani. Hivi unajua shimo la barabara linapochongwa ili kuwekwa kiraka linapaswa lidumu kwa saa 72 tu kabla ya kuzibwa? Si hivyo tu, hata barabara inapokatwa kwa ajili ya kuwekwa kiraka, utekelezwaji wake unapaswa kufanyika kwa muda usiozidi saa 48. Kwa mujibu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), uwekaji wa kiraka ni mbinu ya dharura inayofanywa…

Read More

NAIBU KATIBU MKUU TAMISEMI DK. MSONDE AZINDUWA MAADHIMISHO JUMA LA ELIMU KITAIFA, GEITA

      Mgeni rasmi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayoendelea mkoani Geita,  Naibu Katibu Mkuu (Elimu), Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Dkt. Charles Msonde akizungumza alipokuwa akizinduwa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita leo. Kaimu Mratibu wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Bi. Martha Makala (wa pili kushoto) akimkabidhi mgeni rasmi na Naibu…

Read More