Ukarabati wa Kivuko cha Mv. Magogoni unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa Mwezi Desemba, 2024 na kurejeshwa Nchini ili kuanza kutoa huduma kwa wananchi. Hayo yameelezwa na
Month: May 2024

Wabunge wamepongeza kazi zinazofanyika katika Wizara ya Ujenzi huku wakitaka Kamati ya Bajeti kufanya mapitio upya ya bajeti ili kuongeza fedha kwa Wizara hiyo. Waziri

Marco Reus, mwanasoka wa kulipwa wa Ujerumani ambaye amekaa Borussia Dortmund kwa miaka 12, anatarajia kuondoka katika klabu hiyo kwa ushindi wa fainali ya UEFA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan

Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeanza mchakato wa kufanya Utafiti wa kina juu ya chanzo cha tope maji yatokayo katika ardhi ndani ya mnada wa

MSIMU wa Ligi Kuu Bara 2023-2024 umetamatika juzi Jumanne huku Kipa wa Coastal Union, Ley Matampi akiibuka kinara wa clean sheets akimpiga bao Djigui Diarra

Jamii imetakiwa kuacha tabia ya ujenzi holela wa mkazi na badala yake watumia wataalamu kwaajili ya kupanga makazi yao nahivyo kuyapa dhamani maeneo yao. Wito

Leonardo Bonucci, mwanasoka mashuhuri wa Italia, alitangaza kustaafu kutoka kwa mchezo huo mnamo Mei 28, 2024. Bonucci, aliyezaliwa Mei 1, 1987, huko Arrese, Italia, alianza

Na Munir Shemweta, MLELE Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda amewataka wananchi wanaokabidhiwa hati Milki za ardhi kuhakikisha wanazitunza

Sonia Bompastor anatamani kuendeleza kazi nzuri ya aliyekuwa kocha mkuu wa Chelsea Women Emma Hayes baada ya kutangazwa kuwa mrithi wake. Bompastor, ambaye hapo awali