Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • Page 22
Habari

UKARABATI WA MV. MAGOGONI KUKAMILIKA DISEMBA 2024

May 30, 2024 Admin

Ukarabati wa Kivuko cha Mv. Magogoni unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa Mwezi Desemba, 2024 na kurejeshwa Nchini ili kuanza kutoa huduma kwa wananchi. Hayo yameelezwa na

Read More
Habari

WABUNGE WATAKA BAJETI YA UJENZI IPITE//WALILIA IONGEZWE FEDHA

May 30, 2024 Admin

Wabunge wamepongeza kazi zinazofanyika katika Wizara ya Ujenzi huku wakitaka Kamati ya Bajeti kufanya mapitio upya ya bajeti ili kuongeza fedha kwa Wizara hiyo. Waziri

Read More
Habari

Reus anataka kuondoka Dortmund kwa kuifunga Madrid.

May 30, 2024 Admin

Marco Reus, mwanasoka wa kulipwa wa Ujerumani ambaye amekaa Borussia Dortmund kwa miaka 12, anatarajia kuondoka katika klabu hiyo kwa ushindi wa fainali ya UEFA

Read More
Habari

Makamba:Madini, afya, elimu na miundombinu kunufaika ziara ya rais Samia Korea.

May 30, 2024 Admin

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan

Read More
Habari

MNADA WA MHUNZE KUFANYIWA UTAFITI WA KINA UWEPO WA TOPE MAJI – PROF. MUSHI – MWANAHARAKATI MZALENDO

May 30, 2024 Admin

Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeanza mchakato wa kufanya Utafiti wa kina juu ya chanzo cha tope maji yatokayo katika ardhi ndani ya mnada wa

Read More
Michezo

Mchakamchaka wa Matampi, Diarra kuwania tuzo huu hapa

May 30, 2024 Admin

MSIMU wa Ligi Kuu Bara 2023-2024 umetamatika juzi Jumanne huku Kipa wa Coastal Union, Ley Matampi akiibuka kinara wa clean sheets akimpiga bao Djigui Diarra

Read More
Habari

Jamii yashauri kuwa na matumizi bora ya aridhi kuepukana na majanga na athari za mabadiliko ya Tabia ya nchi.

May 30, 2024 Admin

Jamii imetakiwa kuacha tabia ya ujenzi holela wa mkazi na badala yake watumia wataalamu kwaajili ya kupanga makazi yao nahivyo kuyapa dhamani maeneo yao. Wito

Read More
Habari

Leonardo Bonucci atangaza kustaafu. – Millard Ayo

May 30, 2024 Admin

Leonardo Bonucci, mwanasoka mashuhuri wa Italia, alitangaza kustaafu kutoka kwa mchezo huo mnamo Mei 28, 2024. Bonucci, aliyezaliwa Mei 1, 1987, huko Arrese, Italia, alianza

Read More
Habari

NAIBU WAZIRI PINDA ATAKA UTUNZAJI HATI MILIKI ZA ARDHI KUEPUKA UDANGANYIFU

May 30, 2024 Admin

Na Munir Shemweta, MLELE Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda amewataka wananchi wanaokabidhiwa hati Milki za ardhi kuhakikisha wanazitunza

Read More
Habari

Sonia Bompastor kukabidhiwa mikoba ya Emma Hayes huko Chelsea.

May 30, 2024 Admin

Sonia Bompastor anatamani kuendeleza kazi nzuri ya aliyekuwa kocha mkuu wa Chelsea Women Emma Hayes baada ya kutangazwa kuwa mrithi wake. Bompastor, ambaye hapo awali

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 21 22 23 … 279 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.