Serikali yaunda kamati kupitia nyongeza ya pensheni

Dodoma. Serikali ya Tanzania imeunda kamati kukusanya na kuchambua maoni na mapendekezo ya viwango vya pensheni ili kuwezesha maandalizi ya rasimu ya Waraka wa Baraza la Mawaziri kuhusu nyongeza ya pensheni kwa wastaafu wanaolipwa na Hazina. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema hayo leo Jumanne Mei 7, 2024 wakati akijibu swali la Mbunge wa…

Read More

Simba wakomaa na Mgunda, wakiipa ubingwa Yanga

‘Apewe timu’. Ni kauli ya baadhi ya viongozi wa Simba wakielezea kazi nzuri anayoonyesha Kocha Mkuu wa muda wa timu hiyo, Juma Mgunda wakisema kwa sasa aendelee kuaminiwa hadi mwisho wa msimu, huku wakikiri ubingwa kuwa mgumu. Mgunda alikabidhiwa timu hiyo akichukua mikoba ya Abdelakh Benchikha aliyeomba kuondoka kikosini kwa madai ya majukumu ya kifamilia…

Read More

Putin kuapishwa mchana huu akifukuzia miaka 30 madarakani

Moscow. Rais wa Russia, Vladimir Putin anaapishwa mchana wa leo Jumanne Mei 7, 2024 kuliongoza tena taifa hilo kwa kipindi kingine cha miaka sita, kitakachokamilisha atafikisha 30 akiwa madarakani. Putin ambaye ameliongoza taifa hilo kwa miaka 24, alichaguliwa tena Machi 2024 kushika wadhifa huo kwa miaka sita ijayo. Ataapishwa kushika wadhifa huo katika hafla ya…

Read More

Aziz Ki kamuacha mbali Fei Toto

Achana na vita ya ufungaji bora iliyopo baina ya Feisal Salum ‘Fei Toto’ wa Azam FC na Stephane Aziz Ki wa Yanga, lakini kiungo huyo wa Yanga amejijengea ufalme wake kwenye tuzo za mchezaji bora wa mwezi. Viungo hao wawili wapo kwenye vita kali ya kuwania tuzo ya mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara, huku…

Read More

Warombo wataka kuanzisha benki yao

Dar es Salaam. Wenyeji wa Rombo wanaoishi Mkoa wa Dar es Salaam wamehamasishana kushirikiana kuanzisha benki yao itakayowasaidia kukuza uchumi wa pamoja. Wamesema endapo wazo hilo litafanikiwa, benki hiyo itawapa fursa ya kuanzisha viwanda vikubwa na vidogo nchini, hivyo kukuza uchumi kwa mwananchi mmoja mmoja na kuleta maendeleo mapana kwa Taifa. Wananchi wa Rombo wanaoishi Dar…

Read More

Halmashauri ya wilaya ya Wanging’ombe imepokea zaidi ya Bilioni 1.03 kwenye zoezi la elimu bila malipo

Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe imepokea zaidi ya bilioni 1.03 kwa ajili ya kuwezesha zoezi la elimu bila ya malipo katika shule 120 wilayani humo. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Agnetha Mpangile wakati akifungua kikao cha baraza la madiwani cha kipindi cha robo ya tatu kilichofanyika wilayani humo. Mpangile amesema halmashauri…

Read More