RC CHONGOLO AIPA HEKO TANROADS//BIL 5.7 ZATOLEWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU MKOANI SONGWE

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Daniel Chongolo ameipongeza timu ya wataalamu wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa kufanya kazi kwa haraka na ufanisi mkubwa kuhakikisha barabara zinapitika mkoani Songwe. Rc Chongolo ameeleza kuwa changamoto ya uharibifu mkubwa wa miundombinu umefanyiwa kazi kwa haraka na timu ya wataalamu wa TANROADS na TARURA jambo ambalo…

Read More

Kinana: Hatukubali kushutumiwa kwa uongo

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana amesema viongozi wa chama hicho hawakatai kukosolewa, kusahihishwa, lakini hawakubali kuzushiwa wala kushutumiwa kwa mambo ambayo hayapo au ya uwongo. Pia amewataka Watanzania kutokubali kufarakanishwa, kupandikizwa chuki dhidi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuwa hana nia njema na Bara. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kinana ametoa kauli hiyo…

Read More

Mjane aliyekuwa akilala barabarani ajengewa nyumba

Dar es Salaam. Mjane Judith Wambura, aliyekuwa akilala kwa miezi miwili mfululizo katika mataa Ubungo jijini hapa,  amekabidhiwa nyumba mpya iliyojengwa kwa mchango wa  wasamaria wema. Judithi alijikuta katika hali hiyo akiwa na watoto wake watano,  baada ya mume wake kufariki na baadaye ndugu zake kumfukuza kwenye nyumba waliyokuwa wakiishi. Hafla ya kukabidhiwa nyumba hiyo ilifanyika jana…

Read More

Sababu za mastaa kutoboa soksi

Kumekuwa na mabadiliko mengi ya mavazi kwa wacheza soka duniani kote, lakini hili la kutoboa soksi nyuma linaonekana kuwashangaza mashabiki wengi. Hivi karibuni umezuka mtindo wa wachezaji mastaa duniani kutoboa au kuchana soksi kwenye kigimbi cha mguu hali ambayo imeanza kuzoeleka na kuwa kama kitu cha kawaida. Kwenye Ligi Kuu ya NBC, kuna kundi kubwa…

Read More

Watenda kazi chuo cha Mkwawa wapatiwa semina kuhusu usawa wa kijinsia katika maeneo yao ya kazi

Kaimu Rais wa chuo Kishiriki Cha Elimu Mkwawa kilichopo Manispaa ya Iringa Mkoani Iringa, Profesa Deusdedit Rwehumbiza amewahimiza wafanyakazi chuoni hapo kuishi yale wanayowafundisha wanafunzi ili wanafunzi waige matendo mema kutoka kwao. Profesa Rwehumbiza ameyasema hayo wakati wa semina kuhusu masuala ya usawa wa kijinsia katika maeneo ya kazi kwa watumishi wa chuo hicho yaliyofanyika…

Read More

Ligi Kuu Bara ni vita ya nafasi

LIGI Kuu Bara inaendelea tena leo Jumatatu kwa timu nane kusaka pointi tatu na michezo minne itapigwa viwanja mbalimbali. Mchezo wa mapema saa 8:00 mchana utazikutanisha Ihefu iliyokuwa nafasi ya 12 na pointi 25 kwenye Uwanja wa Liti, Singida dhidi ya Namungo ya Lindi iliyopo nafasi ya 11 na pointi 27 baada ya zote kucheza…

Read More

ATCL YAINGIA MAKUBALIANO KUPELEKA MARUBANI KUFUNDISHA NA KUSIMAMIA NDEGE MPYA NCHINI NIGERIA

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), imeingia makubaliano ya kupeleka marubani wake kufundisha na kusimamia ndege mpya za Airbus A220 za Kampuni ya Ndege ya Ibom iliyopo nchini Nigeria. Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL, Mha. Ladislaus Matindi, amethibitisha kuwepo kwa makubaliano hayo ambapo amesema ATCL imetoa marubani wake waandamizi wawili ambao watakuwa na jukumu la kuwafundisha kwa…

Read More