SERIKALI YATOA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 300 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA ELIMU SHULE YA MSINGI TUNDURU MCHANGANYIKO

Na Mwandishi maalum,Tunduru. SERIKALI imetoa kiasi cha Sh.milioni 302 ili kuboresha mazingira na miundombinu ya kufundishia na kujifunzia kwa wanafunzi na walimu katika shule ya msingi Tunduru Mchanganyiko wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma. Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Sabina Lupukila amesema,kati ya fedha hizo Sh.milioni 246 zimetoka serikali kuu na Sh.milioni 56 zimetolewa na Halmashauri…

Read More

Hidaya chapoteza nguvu baada ya kuingia Mafia

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kupitia mwendelezo wa taarifa zake kuhusu kimbunga Hidaya imesema kimekosa nguvu baada ya kuingia nchi kavu katika Kisiwa cha Mafia. Taarifa hiyo imetolewa jana Jumamosi Mei 4, 2024 saa 5.59 usiku. “Taarifa hii inahitimisha mfululizo wa taarifa wa kilichokuwa kimbunga Hidaya zilizokuwa zikitolewa na TMA…

Read More

Kimbunga Hidaya chakata mawasiliano mikoa ya Kusini- Dar

Lindi. Zaidi ya madaraja manne wilayani Kilwa, mkoani Lindi katika barabara iendayo Dar es Salaam yamesombwa na maji, hivyo kukata mawasiliano kwenye mikoa ya kusini. Hali hiyo inatokana na madhara ya kimbunga Hidaya kilichosababisha mvua kubwa katika mikoa ya Lindi na Mtwara. Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mohamed Nyundo amesema takwimu za juzi Mei 3,…

Read More

Chifu Mkwawa II aomba kujengewa ofisi Iringa

Iringa. Chifu wa kabila la Wahehe, Adam Mkwawa II ameomba kujengewa ofisi ya kichifu ili iwe rahisi kwa makundi mbalimbali wanaotaka kujua historia ya  kabila hilo kukutana naye. Iringa ni kati ya mikoa inayoheshimu nafasi za kichifu tangu wakati wa Mkwawa ambaye alifahamika pia kama Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga aliyefariki Julai 19, 1898 kwa kujipiga risasi,…

Read More

RC SENYAMULE AZINDUA BONANZA LA MICHEZO DUWASA

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule leo Mei 04,2024 amezindua Bonanza la Siku ya Michezo ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) lenye lengo la kuhamasisha wafanyakazi kushiriki michezo na kufanya mazoezi ili kuepukana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Mhe. Mkuu wa Mkoa ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika Bonanza hilo…

Read More

Mpenzi wako ana hasira? Fanya haya…

Dar es Salaam. Katika mahusiano ya aina yoyote, hakuna anayeweza kusema hajawahi kukasirika. Mara kwa mara tunakwazana na kukasirishana, ingawa wako wale ambao hasira yao iko karibu zaidi na huja kwa ukali zaidi na mara nyingine huleta madhara katika vitu, watu au hisia za mpenzi mwingine. Hapa nataka nikusaidie jinsi ambavyo unaweza kufanya pale mpenzi…

Read More

NAIBU WAZIRI PINDA AKABIDHI GARI LA WAGONJWA MPIMBWE

  Na Munir Shemweta, MLELE Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa jimbo la Kavuu katika halmashauri ya Mpimbwe wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi Mhe, Geophrey Pinda amekabidhi gari la wagonjwa kwa ajili ya Kituo cha Afya Kibaoni. Mhe, Pinda amekabidhi gari hiyo tarehe 4 Mei 2024 katika hafla maalum…

Read More