Michoro ya kale Kondoa kuvuta watalii

Dodoma. Maadhimisho ya Siku ya Urithi wa Dunia kwa Afrika kesho Mei 5, 2024 kuwaleta watalii wa ndani na  nje kwenye michoro ya mapangoni iliyopo Kijiji cha Kolo, Kondoa Irangi mkoani hapa. Michoro hiyo ambayo ni Urithi wa Utamaduni na Malikale imetangazwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (Unesco) kuwa moja…

Read More

Chama atachezaje na Pacome, Aziz Ki Yanga

KILA msimu Clatous Chama ni mchezaji anayesajiliwa na Yanga lakini daima anachezea Simba. Huu ni msemo maarufu kila linapokaribia dirisha la usajili na wakati huu msimu ukikaribia kumalizika, tayari uvumi kwamba nyota huyo wa Zambia huenda akajiunga na timu ya Wananchi umeanza tena.   Ipo hivi; Yanga inatajwa kuwinda saini ya kiungo huyo mshambuliaji ambaye…

Read More

Faida, hasara kwa wanandoa kuchunguzana

Utafiti uliofanywa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) ulibaini simu ni miongoni mwa sababu zinazochangia ndoa nyingi, hasa za vijana wa sasa kuvunjika. Hapa yanahusishwa matumizi ya simu kwa ujumla wake na athari zake kwa wenza, swali linakuja je, kuna haja ya kufuatilia mawasiliano ya mwenza wako ili kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa? Ni…

Read More

MAOKOTO YAMEONGEZWA MERIDIANBET KASINO NA EXPANSE TOURNAMENT.

MERIDIANBET Kasino ya Mtandaoni kuna shindano la Expanse ambalo mwanzo maokoto yalikuwa mengi lakini, Bosi kacheka ameamua kuongeza pesa na sasa kuna jumla ya Shilingi Milioni mia nne, bonasi za kasino, mizunguko na beti za bure. Jisajili Meridianbet usipitwe na Promosheni hii. Mtoa huduma wa michezo ya kasino ya mtandaoni Expanse Studio anashirikiana na Meridianbet…

Read More

MTU WA MPIRA: Kwanini Mgunda asiaminiwe moja kwa moja?

MLETE MGUNDA. Ni kauli maarufu zaidi kwa wapenzi wa Simba pale mambo yanapokuwa magumu kwao. Kwanini? Subiri nitakwambia. Hapa majuzi aliyekuwa kocha wa Simba, Abdelhak Benchikha aliomba kuondoka klabuni hapo kutokana na matatizo ya kifamilia. Ilikuwa ni mshtuko mkubwa sana. Simba ilishaweka matumaini makubwa kwa Benchikha kusuka timu ya msimu ujao. Benchikha hakua na msimu…

Read More

Mabao ya Freddy yamuibua Phiri

SIMBA mnamkumbuka kocha wenu wa zamani Patrick Phiri? Amewatumia salamu akiwaambia kuwa ilibaki kidogo tu presha ya mashabiki iwaondolee mshambuliji mzuri ambaye sasa ameanza kuonyesha mabao yake. Akizungumza na Mwanaspoti, kocha huyo Mzambia ambaye amewahi kuinoa Simba kwa mafanikio alisema kitendo cha timu hiyo kukosa matokeo mazuri na mashabiki kuongeza presha kwa wachezaji ilikuwa mbaya…

Read More

JKT Tanzania yaua, kubaki Ligi Kuu bado mtihani

LICHA ya kusogea hadi nafasi ya saba kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kufikisha pointi 29, timu ya JKT Tanzania bado haina uhakika wa kucheza ligi msimu ujao. JKT Tanzania imeshinda mabao 2-0 kwenye uwanja wao wa nyumbani dhidi ya Geita Gold na kupanda nafasi mbili ikizishusha Namungo na Dodoma Jiji. Matokeo hayo…

Read More