TBL kuwafundisha biashara wasambazaji wake

Dar es Salaam. Kampuni ya Bia Tanzania  (TBL) inaendelea na safari yake ya kuwawezesha na kuwaendeleza wauzaji wake kupitia mpango unaojulikana kama (Retailer Development Programme). Mpango huo ambao kwa kifupi unaitwa (RDP), ulizinduliwa Oktoba mwaka jana ukilenga kusaidia wauzaji kukuza biashara zao na kujifunza ujuzi mpya ikiwemo usimamizi wa fedha, hisa, masoko, mauzo na ukuzaji…

Read More

Real Madrid iko tayari kumuuza beki wake nyota Eder Militao.

Umekuwa msimu mgumu kwa Eder Militao, ambaye alikosa kwa zaidi ya miezi saba baada ya kurarua kano yake ya mbele kwenye mechi ya Real Madrid dhidi ya Athletic Club mwezi Agosti. Tangu arejee, uchezaji wake umekuwa wa kutiliwa shaka, ingawa inatarajiwa kutokana na jeraha analotoka. Walakini, inaonekana kwamba maafisa wa Los Blancos hawana huruma nyingi,…

Read More

Kauli za wadau mjadala wa uendeshaji vivuko nchini

Dar es Salaam. Baadhi ya wananchi wamekuwa na maoni tofauti kuhusu uendeshaji wa vivuko nchini, wengine wakishauri ili kukabiliana na changamoto zinazojitokeza vibinafsishwe kwa sekta binafsi, huku wengine wakipinga. Hayo yameelezwa leo Mei 29, 2024 kwenye mjadala ulioendeshwa na Mwananchi Space, ukiwa na mada isemayo ‘Nini kinaweza kuwa suluhu ya changamoto inayoikabili Temesa kuhusu huduma…

Read More

Rais Samia ateua watendaji Tume ya Mipango

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali, akiwamo Dk Mursali Milanzi, aliyeteuliwa kuwa Naibu Katibu Mtendaji, Tume ya Mipango anayeshughulikia masuala ya Mipango ya Kitaifa. Kabla ya uteuzi huo, Dk Milanzi alikuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mipango ya Kitaifa katika Tume ya Mipango. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa…

Read More

Ujenzi vivuko Tanga kuzuia vifo vya wanafunzi

UJENZI wa Vivuko vya alama za pundamilia na njia za watembea kwa miguu katika Shule za Msingi Makorora na Azimio Jijini Tanga, vimewaepusha wanafunzi kuepukana na ajali ambazo zimekuwa zikichangia vifo na majeraha mbalimbali kwao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Tanga …(endelea). Ujenzi huo umewezeshwa na Shirika la Amend Tanzania kupitia mradi wake Miundombinu  Salama ya Barabara…

Read More

Rais Samia ateua watedaji Tume ya Mipango

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali, akiwamo Dk Mursali Milanzi, aliyeteuliwa kuwa Naibu Katibu Mtendaji, Tume ya Mipango anayeshughulikia masuala ya Mipango ya Kitaifa. Kabla ya uteuzi huo, Dk Milanzi alikuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mipango ya Kitaifa katika Tume ya Mipango. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa…

Read More