Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • Page 253
Habari

Majitaka yageuzwa fursa kutengeneza mbolea, gesi

May 3, 2024 Admin

Unguja. Miaka michache iliyopita, Wazanzibari walikumbwa na maradhi ya mlipuko kama kipindupindu kutokana na mazingira kutokuwa safi. Mwaka 2016 watu 45 walipoteza maisha na 3,000

Read More
Michezo

Kibu nje Simba ikiivaa Mtibwa Sugar

May 3, 2024 Admin

YUKO wapi Kibu Denis? Hilo ndilo swali ambalo mashabiki wa Simba wanajiuliza baada ya kuuwekwa wazi kikosi chao ambacho kitacheza mchezo wa Ligi Kuu Bara

Read More
Habari

Kwa nini vimbunga vingi hupewa majina ya kike?

May 3, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ni jambo linalofikirisha pale unapokuta vimbunga vingi, dhoruba au tufani mara nyingi vinapewa majina ya binadamu, na zaidi yale ya kike. Hata kimbunga

Read More
Habari

DCEA YAWASHIKILIA WATUHUMIWA KWA KUKUTWA NA SILAHA ZA MOTO NA DAWA ZA KULEVYA

May 3, 2024 Admin

Na Janeth Raphael -MichuziTv Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya Kanda ya kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Singida, Tabora na Kigoma imefanya

Read More
Michezo

Singida FG, Dodoma vita ya kukwepa playoff, Ngawina asaka ushindi wa kwanza

May 3, 2024 Admin

KESHO Singida Fountain Gate itaialika Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, jijini hapa kuanzia saa 10:00 jioni, huku

Read More
Habari

Sabaya yupo huru,DPP aondoa rufaa

May 3, 2024 Admin

Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) Silvester Mwakitalu, leo May 05,2024 amewasilisha katika Mahakama Kuu ya Tanzania masijala ya Arusha ombi la kuiondoa rufaa No.155 ya

Read More
Habari

NBC yazindua huduma maalum kwa wastaafu

May 3, 2024 Admin

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua huduma maalum kwa ajili ya wastaafu inayofahamika kama “Akaunti ya Wastaafu” ama “Pensioners account” ikilenga kutoa huduma za

Read More
Habari

DPP aondoa rufaa ya mwisho dhidi ya Sabaya, wenzake watano

May 3, 2024 Admin

Arusha. Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) amewasilisha katika Mahakama Kuu ya Tanzania masijala ya Arusha, nia ya kutoendelea na dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya

Read More
Habari

Yalivyokuwa mapokezi ya katibu mkuu Umoja wa Wazazi Aly hapi kigoli Iringa

May 3, 2024 Admin

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi CCM, Ally Hapi amewasili Mkoani Iringa kwa ajili ya kuanza ziara yake ya Mikoa minne leo May

Read More
Habari

Maoni ya Balozi Battle Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari – MWANAHARAKATI MZALENDO

May 3, 2024 Admin

    Nafasi Muhimu ya Takwimu Huria Katika Kudumisha Uhuru wa Vyombo vya Habari na Kuthamini Ushirikiano kati ya Marekani na Tanzania Na Balozi Michael

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 252 253 254 … 279 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.