Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • Page 258
Habari

TMA: Kimbunga Hidaya kinaendelea kusogea, kuimarika

May 3, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) leo Ijumaa, Mei 3, 2024 saa 3:00 asubuhi imetoa taarifa ya kuimarika na kuendelea kusogea

Read More
Habari

MIAKA 25 YA HUDUMA YA MTOTO WAZAZI WAPEWA NENO.

May 3, 2024 Admin

Wazazi na walezi wametakiwa kuwa karibu na watoto wao nyakati zote katika kuhakikisha wanakuwa na maadili mazuri ili kupunguza matukio ya unyanyasaji na ukatili kwa

Read More
Habari

CMA, TIC waingia makubaliano kupunguza migogoro ya wawekezaji, wafanyakazi

May 3, 2024 Admin

Dar es Salaam. Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) wameingia makubaliano ya ushirikiano katika kupunguza migogoro ili kuboresha mazingira

Read More
Habari

RAIS SAMIA ATOA BIL 5 KUREJESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA NA MADARAJA – LINDI

May 3, 2024 Admin

Mvua kubwa za El-Nino zilizonyesha zimeleta athari maeneo mbalimbali hapa Nchini ikiwemo katika Mkoa wa Lindi ambapo zimesababisha uharifu mkubwa wa miundombinu ya barabara na

Read More
Habari

MADAKTARI 1,109 KUNUFAIKA NA UFADHILI WA RAIS SAMIA KATIKA MASOMO YA UBINGWA BOBEZI 2023/24

May 3, 2024 Admin

Na WAF – Dar Es Salaam Dkt. Samia Super-Specialized scholarship Programme imetoa nafasi za ufadhili wa masomo ya ubingwa na ubingwa bobezi ambapo kwa mwaka

Read More
Habari

SERIKALI YATOA NENO KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO YA KIDIGITALI PAMOJA NA MIKOPO YENYE RIBA KUBWA.

May 3, 2024 Admin

SERIKALI imesema inafuatilia kwa karibu mwenendo wa utoaji wa mikopo kwa njia ya kidigitali iliyoidhinishwa na kwamba itakapobainika kuwa kuna ukiukwaji wa matakwa ya leseni

Read More
Habari

WANANCHI WAHIMIZWA KUHAMA MAENEO HATARISHI

May 3, 2024 Admin

NA WILLIUM PAUL, MOSHI. Wananchi wamehimizwa kuendelea kuchukua tahadhari na kuondoka katika maeneo hatarishi yenye viashiria vya kuathiriwa na maafa ili kuendelea kuwa na jamii

Read More
Habari

JKT YAZALISHA MICHE 300,000 NA KUIGAWA BURE KWA WAKULIMA MKOANI KIGOMA

May 3, 2024 Admin

Mwenyekiti wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akikagua mradi wa kilimo cha mchikichi

Read More
Habari

Baba jela miaka 30 kwa kumpondaponda nyeti mtoto wa kufikia

May 3, 2024 Admin

Morogoro. Mahakahama ya Hakimu Mkazi Morogoro imemuhukumu kifungo cha miaka 30 jela Mohamed Omary Salange (37), baada ya kumkuta na hatia katika kosa la ukatili

Read More
Habari

NAIBU WAZIRI PINDA AKABIDHI BAISKELI KWA WALEMAVU KAVUU

May 3, 2024 Admin

Na Munir Shemweta, MLELE Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa Jimbo la Kavuu katika halmashauri ya Mpimbwe mkoa wa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 257 258 259 … 279 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.