
BALOZI MBAROUK AFUNGUA MKUTANO WA NNE WA BARAZA LA WAFANYAKAZI LA WIZARA
NaibuWaziri wa Mambo na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi MbaroukNassor Mbarouk (Mb) akifungua Mkutano wa Nne wa Baraza la Wafanyakazi laWizara lililofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifacha Arusha (AICC) tarehe 02 Mei, 2024 ……………… Naibu Waziri Mambo ya Nje naUshirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amefungua Mkutanowa Nne wa Baraza…