Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

KIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza, amefungua kesi katika Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ) akitaka arejeshewe haki zake za kiraia, ikiwa ni pamoja na haki ya kugombea katika uchaguzi ujao. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Victoire Ingabire Umuhoza alifungua kesi hiyo mapema wiki hii. Anapinga serikali ya Rwanda kukataa kurejesha…

Read More

Urusi yadai kusonga mbele Ukraine – DW – 02.05.2024

Hayo yanajiri muda mfupi baada ya Ukraine nayo kudai kuwa Moscow ilifanya shambulio la kombora mjini Odesa na kuwajeruhi watu wanne. Wizara ya ulinzi ya Urusi imesema leo Alhamisi kuwa wanajeshi wake wamefanikiwa kuliteka eneo la Berdychi lililo mashariki mwa Ukraine. Taarifa ya wizara hiyo imetolewa kupitia shirika la habari la Interfax wakati Urusi ikiharakisha…

Read More

Uchunguzi walionaswa na nyara za Sh3.3 bil bado bado

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imesema bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya kusafirisha nyara za Serikali ikiwemo mifupa 1,107 ya Simba zenye jumla ya thamani ya Sh 3.3 bilioni, inayowakabili washtakiwa 12 wakiwemo waliokuwa wafanyakazi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA). Washtakiwa hao ikiwemo kampuni ya usafirishaji ya AB Marine Products…

Read More

DKT. BITEKO ATAKA UTOAJI HUDUMA USIWE WA KIBAGUZI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali itaendelea kuboresha miundombinu ya utoaji wa huduma za saratani na vifaa tiba ili kutanua wigo wa huduma za Saratani nchini na hivyo kuwezesha upatikanaji wa huduma hizo kwa urahisi. Dkt. Biteko amesema hayo tarehe 2 Mei, 2024 wakati akimwakilisha Rais, Dkt. Samia…

Read More

NMB yang’ara maonesho OSHA

Benki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta ya fedha na bima kama mshindi wa pili (first runner up) katika tuzo zilizotolewa na Wakala wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA) wakati wa kufunga Wiki ya Maadhimisho ya Kimataifa ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi 2024 yaliyofanyika jijini Arusha. Anaripoti Mwandishi…

Read More

Kitasa kung’oka Azam FC | Mwanaspoti

Beki wa kati wa Azam FC, Malickou Ndoye ameonyesha nia ya kuondoka ndani ya timu hiyo baada ya msimu huu kumalizika kutokana na kutokuwa na uhakika wa kucheza kwenye kikosi cha kwanza. Taarifa ambazo Mwanaspoti limezipata kutoka ndani ya timu hiyo zilieleza nyota huyo aliyekuwa nje ya uwanja tangu Oktoba mwaka jana kutokana na majeraha…

Read More