Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema  Serikali itaendelea kuboresha miundombinu ya utoaji wa huduma za saratani na vifaa tiba  ili kutanua wigo wa huduma za saratani nchini na hivyo kuwezesha upatikanaji wa  huduma hizo kwa urahisi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Pia ametoa rai kwa uongozi wa Hospitali hiyo kuhakikisha…

Read More

NMB yang’ara OSHA!

          Benki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta ya fedha na bima kama mshindi wa pili (first runner up) katika tuzo zilizotolewa na Wakala wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA) wakati wa kufunga Wiki ya Maadhimisho ya Kimataifa ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi 2024…

Read More

Mandonga humwambii kitu kwa Pacome Yanga

Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Karim Mandonga ‘Mtu Kazi’, amefichua kuwa yeye ni shabiki mkubwa wa Yanga huku akibainisha kwamba, mchezaji ambaye huwa anapenda kumuangalia anavyocheza ni kiungo wa timu hiyo raia wa Ivory Coast, Pacome Zouzoua. Mandonga amesema kwamba, kabla ya Pacome, alikuwa akivutiwa zaidi na mastaa waliotimka kwenye timu hiyo, Feisal Salum…

Read More

ULIMWENGU WA ZAWADI KABAMBE THAMANI MPAKA BIL 1.

Ingia katika ulimwengu wa zawadi za kushangaza: Jishindie sehemu ya zawadi zenye thamani ya Tsh Bilioni Moja (1,109,338,868) pale unapocheza michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka kwa watengenezaji wa michezo ya kasino Wazdan. Karibu katika ushindi usio na kifani! Burudika na Meridianbet unapocheza kasino ya mtandaoni na jishindie sehemu ya zawadi zenye thamani ya Tsh…

Read More

Gamondi afichua jambo Yanga | Mwanaspoti

HESABU za Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi ni kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara mapema tu kadiri iwezekanavyo na ndiyo maana amefichua kuwa na dozi maalum kwa wachezaji wake kwenye uwanja wa mazoezi ili kila mmoja kuwa fiti na tayari kwa mchezo ambao atataka kumtumia. Baada ya kutolewa wiki chache zilizopita katika hatua ya…

Read More

Chongolo aonya viongozi vijiji kutouza NIDA kwa wageni

MKUU wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amewaonya viongozi wa serikali za vijiji na mitaa mkoani humo, kutowauzia wananchi na wageni vitambulisho vya uraia (NIDA) kwani watakaobainika kuchukuliwa hatua kali. Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe… (endelea). Akizungumza jana  Jumatano na wananchi wa kijiji cha Itale kata ya Itale, Chongolo amesema kutokana na mkoa huo kupakana na…

Read More

CSSC YASHEREHEKEA MAFANIKIO YA AWAMU YA PILI YA MRADI WA KUBORESHA MAFUNZO YA FAMASI NCHINI TANZANIA.

KAIMU Mganga Mkuu wa Serikali Ziada Sellah,akizungumza wakati wa mkutano mkuu wa mwaka pamoja na kusherehekea mafanikio ya Mradi wa kuboresha mafunzo na huduma za famasi nchini (MAP-QPS) awamu ya pili uliokwenda sambamba na uzinduzi wa mifumo ya TEHAMA na ugawaji wa vitabu vya Famasi jijini Dodoma. Mkurugenzi Mtendaji wa CSSC, Peter Maduki,akizungumza wakati wa…

Read More

Azam FC, Namungo mechi ya kisasi

MCHEZO mmoja wa kukamilisha hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) utapigwa leo kati ya wenyeji, Azam FC itakayoikaribisha Namungo kuanzia sasa 1:00 usiku, mechi itakayopigwa Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam. Mshindi wa mchezo huo ataenda kukutana na Coastal Union iliyoitoa Geita Gold kwa bao 1-0 katika hatua ya…

Read More