
TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu wa GGML
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) pamoja na Wakala wa Usalama na Afya mahalipa kazi (OSHA) wametoa wito kwa kampuni nyingine za madini kuiga mbinu na miongozi inayotumiwa na Geita Gold Mining Limited (GGML) katika kuzingatia kanuni za afya na usalama mahali pa kazi. Wito huo umetolewa kwa nyakati tofauti na viongozi wa taasisi…