SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) pamoja na Wakala wa Usalama na Afya mahalipa kazi (OSHA) wametoa wito kwa kampuni nyingine za madini kuiga
Month: May 2024

MKUU wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ametoa wito kwa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kuhakikisha fedha zinazotolewa na kampuni hiyo kutekeleza miradi

Kenya. Rais wa Kenya, William Ruto amempandisha cheo Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri kuwa Jenerali na kisha kumteua kuwa Mkuu wa Majeshi (CDF) leo Alhamisi

Na Happiness Shayo – Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imeainisha mikakati mbalimbali ya kukabiliana na changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu katika

MNAMO 1890, mwandishi mmoja wa habari Mmarekani aitwaye Julian Ralph alisafiri kutoka New York hadi Birmingham, mji wenye nguvu ya kiviwanda ulio katikati ya Uingereza,

Mamlaka ya ujumbe huo, ikiwa ni pamoja na jukumu lake la kulinda raia, inaishia katika jimbo hilo Taarifa ya hivi karibuni ya Monusco inakumbusha kwamba

Tanga. Madereva wanaofanya safari zao kutoka Tanga Mjini kwenda wilaya ya Mkinga eneo la Holoholo ulipo mpaka wa Tanzania na Kenya, wamegoma kusafirisha abiria kutokana

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC kwa sasa wanaishi kwa kupiga hesabu za vidole kabla ya kutetea ubingwa ambao utakuwa wa 30 tangu

Von der Leyen ametoa ahadi ya msaada huo alipokutana na waziri mkuu wa muda wa nchi hiyo Najib Mikati mjini Beirut. Ursula von der Leyen ametangaza msaada

ZAIDI ya wakazi 3000 waishio kwenye vijiji vya karibu na hifadhi ya Taifa ya Serengeti wanatarajiwa kupatiwa elimu ya namna ya kukabiliana na changamoto za