Video ya Davido akipiga goti kwa mchepuko yavujishwa,mwenyewe atolea majibu

Wanamuziki wawili maarufu nchini Nigeria, Wizkid na Davido, wamewasha moto mitandao ya kijamii kwa kurushiana maneno, na kuwavutia mashabiki nchini na kote nchini. Ushindani kati ya mastaa hawa wawili wa afrobeat, ambao kila mmoja unaongoza mamilioni ya wafuasi duniani kote, umegawanya wapenda muziki wa Nigeria katika kambi kali: “Team Wizkid” au “Team Davido”. Lakini bado…

Read More

SPOTI DOKTA: Mei mosi na tishio afya za wachezaji

Kila Mei Mosi kwa mwaka inaadhimishwa siku ya kimataifa ya wafanyakazi duniani. Chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa (UN), Tanzania na nchi duniani iliyoazimisha siku hiyo hapo jana. Wadau na wamichezo nao ni sehemu ya maadhimisho hayo ambayo kitaifa yalifanyika jijini Arusha. Sikuya wafanyakazi iliwekwa mahsusi ili kutambua michango ya wafanyakazi duniani na vilevile…

Read More

JIWE LA SIKU: Simba ya Mgunda anakufunga yeyote

Simba imeanza maisha mapya baada ya kocha Abdelhak Benchikha kuondoka kwa ilichoelezwa kuwa ni matatizo ya kifamilia na timu kukabidhiwa kwa Juma Mgunda na Selemani Matola, uamuzi ambao kwa hakika umewapa matumaini makubwa mashabiki kutokana na rekodi za kocha huyo mzawa aliyejipatia sifa kama “mzee wa acha boli litembee.”  Mgunda amerejea kikosini kama kaimu kocha…

Read More

UDSM, DAR City zachuana BDL

Timu ya Dar City na UDSM Outsiders, zinakabana koo katika uongozi wa Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL)inayoendelea kwenye Uwanja wa Donbosco, Oysterbay, Dar es Salaam. Timu hizo zilianza kuchuana tangu ligi ilivyoanza Machi 3 mwaka huu.  Mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Dar City,  ndiyo wanaongoza katika kwa pointi 25 kutokana…

Read More

UWT yatoa tamko kauli ya Serikali juu ya watoto njiti

Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM Tanzania – UWT inayoongozwa Mwenyekiti wake Mary Pius Chatanda imetoa shukrani na pongezi kwa Serikali ya Awamu ya Sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kulipa kipaumbele suala la afya hususai mama na mtoto ikiwa ni pamoja na kuboresha mazingira…

Read More

Lusajo: Profesa shabiki wa Simba alinikazia nisijiunge Yanga

Mshambuliaji Reliants Lusajo anajipambanua kuandaa maisha baada ya kustaafu soka, jambo linalomfanya aipe elimu kipaumbele ili kumwezesha kufanya shughuli nyingine kwa urahisi. Katika mahojiano na Mwanaspoti, straika huyo ambaye anasema hupenda kuzurura pindi Ligi Kuu Bara inaposimama na siyo mtu anayepania kusoma isipokuwa ana akili za kuzaliwa akiamua kuweka mkazo katika kitabu, basi hakuna kinachoshindikana….

Read More