Wanamuziki wawili maarufu nchini Nigeria, Wizkid na Davido, wamewasha moto mitandao ya kijamii kwa kurushiana maneno, na kuwavutia mashabiki nchini na kote nchini. Ushindani kati
Month: May 2024

Jamaa wa mateka wa Israel wanaoshikiliwa na kundi la Hamas waliingia mitaani siku ya Alkhamis (Mei 2) kuishinikiza serikali ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kufikia

Kila Mei Mosi kwa mwaka inaadhimishwa siku ya kimataifa ya wafanyakazi duniani. Chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa (UN), Tanzania na nchi duniani iliyoazimisha

Nyota wa vichekesho kutoka Nchini Kenya Eric Omond amewasili Nchini kubwa zaidi ni kwa ajili uzinduzi wa Show kubwa itakayo onekana kupitia Zamaradi Tv mbali

Kigoma. Licha ya Bandyeekela Janwary, raia wa Burundi kushikilia msimamo kuwa ndugu yake Kwizera Kamazi alikufa kifo cha kawaida kutokana na ugonjwa, Mahakama imethibitisha kuwa

Simba imeanza maisha mapya baada ya kocha Abdelhak Benchikha kuondoka kwa ilichoelezwa kuwa ni matatizo ya kifamilia na timu kukabidhiwa kwa Juma Mgunda na Selemani

Dodoma. Wakati kukiwa na kauli tofauti za Serikali kuhusu madai ya wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kwamba hawaidai Serikali, Waziri Mkuu Kassim

Timu ya Dar City na UDSM Outsiders, zinakabana koo katika uongozi wa Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL)inayoendelea kwenye Uwanja wa

Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM Tanzania – UWT inayoongozwa Mwenyekiti wake Mary Pius Chatanda imetoa shukrani na pongezi kwa Serikali ya Awamu ya

Mshambuliaji Reliants Lusajo anajipambanua kuandaa maisha baada ya kustaafu soka, jambo linalomfanya aipe elimu kipaumbele ili kumwezesha kufanya shughuli nyingine kwa urahisi. Katika mahojiano na