Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • Page 268
Habari

CSSC YAGAWA VITABU VYENYE THAMANI YA SH MILLION 60 KWA VYUO VYA FAMASI NCHINI

May 2, 2024 Admin

  KAIMU Mganga Mkuu wa Serikali Ziada Sellah,akigawa vitabu mara baada ya kuzindua zoezi la ugawaji wa vitabu vya Famasi jijini Dodoma. KAIMU Mganga Mkuu

Read More
Michezo

Pamba yaanza mabalaa, maandalizi Ligi Kuu Bara 2024\2025

May 2, 2024 Admin

Achana na shangwe la kupanda Ligi Kuu Bara linaloendelea jijini hapa, mabosi wa Pamba Jiji tayari wameshapata pa kuanzia wakati wakipiga hesabu za mambo watakayoanza

Read More
Habari

Mahakama ya UN yatoa hati ya kukamatwa rais wa zamani wa Jamhuri ya Afrika ya Kati

May 2, 2024 Admin

Mahakama Maalumu ya Jinai (CPS) inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa imesema, imetoa hati ya kukamatwa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Afrika ya Kati

Read More
Habari

WAZIRI WA MADINI AKUZUNGUMZA NA OFISA MTENDAJI WA HELIUM ONE BUNGENI

May 2, 2024 Admin

Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde akizungumza na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Helium One, Lorna Blaisse na Mkurugenzi wa Fedha na Biashara, Graham Jacobs wakifuatilia

Read More
Michezo

Hii hapa mikakati mipya ya Mgunda Simba

May 2, 2024 Admin

SIKU chache baada ya kurudishwa Simba, kocha Juma Mgunda ametaja mambo matatu yatakayombeba kwenye mechi nane zilizobaki akianza na sare ya mabao 2-2 dhidi ya

Read More
Michezo

Siri Yanga kuwaita mezani Mwamnyeto, Kibwana

May 2, 2024 Admin

Uhaba wa mabeki wazawa wenye uwezo wa juu, uzoefu pamoja na kutokuwa tayari kuwanufaisha wapinzani iwapo wawili hao wataondoka, ni sababu tatu za msingi zilizofanya

Read More
Habari

CSSC YAPONGEZWA KUBORESHA HUDUMA ZA FAMASI NCHINI 

May 2, 2024 Admin

KAIMU Mganga Mkuu wa Serikali Ziada Sellah,akizungumza wakati wa mkutano mkuu wa mwaka pamoja na kusherehekea mafanikio ya Mradi wa kuboresha mafunzo na huduma za

Read More
Habari

Wasusa kumzika marehemu wakidai amefariki kishirikina,wataka arudishwe

May 2, 2024 Admin

Wananchi wa mtaa wa Muungano halmashauri ya mji wa Makambako mkoani Njombe wamegomea kuuzika mwili wa kijana Elisha Nyalusi (35) wakidai kifo chake kimesababishwa na

Read More
Habari

Kila mtumishi kwenye ofisi yake anunue gari “Hakuna haja ya kusubiri lift ya mtu”:

May 2, 2024 Admin

Mkuu wa mkoa wa Njombe Anthony Mtaka ameagiza watumishi wote kwenye ofisi yake kununua magari binafsi ili kupunguza wivu wa kutumia magari ya serikali.  

Read More
Habari

ULEGA AWAFARIJI WAATHIRIKA WA MAFURIKO MKURANGA

May 2, 2024 Admin

Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, ambaye pia ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amewatembelea na kuwafariji wananchi waliothiriwa na mafuriko katika Kata

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 267 268 269 … 279 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.